Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Israel piga hao Hamas mpaka yabaki majivu tu hapo Gaza
 
Sasa wao wanapigana na Israel inakuwaje wanaua watu wengine tena weusi kabisa ambao sio rahisi kuwafananisha na waisrael?
Tuwawekee vikwazo hawa
 
We konyo ebu nitoe kwenye hizo dini zenu za kiwaki zilizopanda meli. Mie naabudu mizimu ya mababu zangu,sio hao magaidi yanayowapumbaza kua mkifa mtakutana na bikra 70.Unikomeee wee paka la baa.Komaa kabsa kuni quote use.nge

وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
 
Israel piga hao Hamas mpaka yabaki majivu tu hapo Gaza

Endeleeni kuugulia maumivu ya jamaa zenu, sisi tunapiga pale pale, huu ndio uanaume. Na sio kuuwa watoto, wamama, wazee, vijana.

Your browser is not able to display this video.
 
Kwa hiyo serikali ikilaani mauaji hayo ndio Marehemu hawa watafufuka???

Punguzeni chuki zisizo na tija!
Gaidi mwingine. Ndugu yako anauawa unakaa kimya kisa imani katika simulizi za kale za kijinga
 
Hatuna viongozi, tuna watun wako madarakani ila hawajitambui
 
Afu Kuna mavaa kobazii yanataka kuandama!! Maninaa zenu.....
 
Samia na waislam wenzake watakuwa wanafurahia kuuawa kwa mtanzania mwenzetu!!, Tunahitaji kauli ya serikali kuhusu Hawa HAMAS. KUKAAA KIMYA MAANA YAKE WAMEFURAHISHWA NA HAYA.
 
Halafu hapo bado kuna wapumbavu wanaichukia Israel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…