Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Ila Tanzania tunatukuza udini kuliko utanzania wetu. Mtanzania katekwa na Hamas kauawa mikononi mwa Hamas. Mtu anawatetea Hamas na kumuona mtanzania mwenzake hafai. Aiseeh!
Una ushahidi kuwa katekwa na Hamas?!
 
Tofautisha nyakati za sasa na enzib za cold war, kwa akili zako finyu unaona Islamic terrorist wana haki ya kuwaua watanzania wasio na hatia kwa sababu ni wakristo?
Wakristo wangapi wanaishi Palestina miaka kwa miaka....tena wakiwa na Furaha

Semeni tu ukweli
Israel iliwatoa chambo Wabongo kwa tamaa au ujinga wao.
 
Kwa kweli ubalozi wa Palestina ufutwe haraka sana. Hauna faida kwetu. Kuna siku unaweza kuja kutumika kutuletea magaidi nchini.
Balozi wa Palestina anatokana na Serikali ya PLO ambayo ni Serikali isiyokubaliana na Siasa na harakati za Hamas inayoongoza eneo la Ghaza

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Tofautisha nyakati za sasa na enzib za cold war, kwa akili zako finyu unaona Islamic terrorist wana haki ya kuwaua watanzania wasio na hatia kwa sababu ni wakristo?
Huwa sifanyi mijadala na Mazwazwa, bye
 
Huyu Ni kijana wa ukoo wetu kifo chake kimenuuma sana kupoteza huyu nyangulo mdg kbsa


Natoa wito Israel iwaangamizee magaidi wote pale gaza pasikalike Tena
 
Hamas wana mochwari kumbe..si waseme ti kama mili ipo mochwari za Israel hawa nao propaganda ya kitoto sana hii
 
1702584894482.png

1702583290150.png

Serikali ya Israel imeijulisha Tanzania kuwa Mtanzania Joshua Mollel aliyekuwa anasoma nchini Israel aliuawa mara tu baada ya kutekwa na kundi la Hamas 7 Oktoba 2023.

Taarifa hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba ambapo ameeleza kuwa "kwa sasa Serikali inaendelea na mpango wa awali wa kuwapeleka Mzee Mollel na mwanafamilia mwingine pamoja na Afisa wa Serikali nchini Israel, kuungana na Balozi wetu na maafisa waliopo huko, kukutana na kuzungumza na mamlaka za nchi hiyo ili kupata taarifa za ziada."

Joshua alikuwa miongoni mwa vijana wa Kitanzania 260 waliokwenda Israel kushiriki mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vitendo, chini ya mpango wa ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Israel.

Yeye na mwenzake Clemence Mtenga walitekwa na kuuwa na kundi hilo mara baada ya kuanzisha mashambulizi dhidi ya Israel, ambayo Mtenga alizikwa Novemba 28 mwaka huu katika Kijiji cha Kirwa, Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro.

Tukio hilo lililenga waisrael wote halikulenga wayahudi pekee !! walengwa walikuwa raia wote wa Israel
 
View attachment 2842795
View attachment 2842761
Serikali ya Israel imeijulisha Tanzania kuwa Mtanzania Joshua Mollel aliyekuwa anasoma nchini Israel aliuawa mara tu baada ya kutekwa na kundi la Hamas 7 Oktoba 2023.

Taarifa hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba ambapo ameeleza kuwa "kwa sasa Serikali inaendelea na mpango wa awali wa kuwapeleka Mzee Mollel na mwanafamilia mwingine pamoja na Afisa wa Serikali nchini Israel, kuungana na Balozi wetu na maafisa waliopo huko, kukutana na kuzungumza na mamlaka za nchi hiyo ili kupata taarifa za ziada."

Joshua alikuwa miongoni mwa vijana wa Kitanzania 260 waliokwenda Israel kushiriki mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vitendo, chini ya mpango wa ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Israel.

Yeye na mwenzake Clemence Mtenga walitekwa na kuuwa na kundi hilo mara baada ya kuanzisha mashambulizi dhidi ya Israel, ambayo Mtenga alizikwa Novemba 28 mwaka huu katika Kijiji cha Kirwa, Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro.

Tukio hilo lililenga waisrael wote halikulenga wayahudi pekee !! walengwa walikuwa raia wote wa Israel
Ndo maana sihuzuniki tena nasheherekea mitoto na mijawanake miarabu ya kipalestina inavyouliwa. Tena Israel inatuangusha idadi ya vifo ya mitoto na mijawanake ya kipalestina ingetakiwa ifike laki tano sasa. Yafe tu yote NO MERCY.

YAUWAWE KWA HALAIKI BILA HURUMA ISRAEL ANGAMIZA HICHO KIZAZI CHA SHETANI.

NO MERCY NO MERCY NO MERCY.


Rest in peace vijana wetu Clemence na Joshua. Mungu wetu kipenzi Yesu awapokee na tukutane Sayuni ile asubuhi njema.
 
Angekua Mwislam, nadhani asingeuwawa!

Wangemuuliza tu "Soma Alifu.....!'

Na yeye angeendelea tu " Bhe,, the..,......Zali..,....!"

Baadaye wangesema "Takbirrr....!" angeitikia " Allah akbar....!"

Wangemwacha...!

Tatizo alikua Mkristo hafu Ngozi Nyeusi.
 
Back
Top Bottom