ni aibu kwa serikali ya tanzania...eti Israel wamesema...we ulidhani Israel watasema kuwa wao ndo wamemuuwa? wangeleta ushahidi kama hamas ndo wameuwa.... Israel wameuwa watoto wangapi kule palestina?Halafu utamsikia mtanzania wa Ilala, anasema from the sea to the river au free Palestine.
Magaidi ni HamasSasa kama mnaamini israeli ni nchi ya ahadi kati yenu na palestina na magaidi?🤣
Inna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.
, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.
Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?
Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
Tena ni zaidi ya Mpumbavu,mtu mzima lakini anakuwa na mambo ya hovyo sanabibi we ni mpumbavu samahani lakini
Itokomezwe kwenye smartphone [emoji336] heheheeDuh hatimaye mtanzania mwenzetu huyu mwingine kafia gaza!! Hii Hamas itokomezwe kabisa
Hata usipomchekea utam fanya nini labda kwamfano???Alafu utakuta balozi wao amekaa hapa nasi tunamchekea tu,idiot!
Wale wapo hao walikuwa kweny tamash kitu kama hicho.Hivi wale vijana wenzao walioenda wote kwenye mafunzo wamerudi?
Nyie si bado munaendelea kusapoti viongozi wa hovyo kutokea Africa kama kina raila na mfano wake wanaotaka kuwapeleka watu zao huko israhelKijana alikuwa anajitafutia maisha yake na sasa ni marehemu wewe mtu mzima na wajukuu unamdhihaki kwa kumwita mpumbavu kweli.Kumbe hata na Wapumbavu huzeeka na upumbavu wao.
Hapana magaidi ni IDF na serikali nzima ya israeli wakiongozwa na mhalifu wa kivita Netanyahu.Magaidi ni Hamas
Usiwe bwegee wewe hao wate wameuliwa na mabomu ya Israel unamuanin huyo uharo anakushikia akili Hamas wabebe maiti kutoka Israel hadi Gaza😂Halafu utamsikia mtanzania wa Ilala, anasema from the sea to the river au free Palestine.
Naunga mkono hojaIfike mahali hizo nchi zenye vita wapelekwe watoto wa viongozi
Hawa wa maskini waachwe walee familia zao.
Inaumiza sana, mzazi umemsomesha kijna wako kwa tabu, unategemea baadae aje kukulea , leo hii unaitiwa maiti
Dah! Mimi ndio maana sipendi mtoto wa ma mkwe atoke, ndio mambo kama haya.Wale wapo hao walikuwa kweny tamash kitu kama hicho.
Na huu ndio ukweli ambao wengi hawataki kuusemaWabongo ni wanafiq wala hakuna kupendana kihivyo tuwalaani tu waisrael bila kuwatesa wapelstina haya yasingetokea!
Wewe kahaba wa enzi za TANU ungekaa tu kimya kuliko kuharisha hapa.Inna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.
, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.
Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?
Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
Hivi wewe una matatizo gani wewe mtu?????????????????😉Inna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.
, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.
Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?
Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
We ajuza una roho mbaya sana,Udini umekufanya umekua katili sana,kweli nimeamini "Meno ya Mwenzio utatafunia mchanga"..Nakwambia subiri siku moja yakukute haya uje ushangilie kama hivi.KarmaInna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.
, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.
Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?
Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?