Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Usingalie upande mmoja unakosea sana ....Humu ndani watoto wa paulo wana maneno ya kashfa kama waislamu wakipata maafa ,sitetei ila dawa ya moto ni moto.

Angalia kwanza wanavyomtag hizi ni chuki kabisa kwa nn wamtag walitaka majibu fulani..

Hata mimi ukinitag naleta maneno ya hovyo na hakuna kitu mtu atanifanya.
 
Binafsi tangu walivyotoa taarifa ya watoto kukatwa vichwa halafu baadae wakaja kukanusha na sikuhzi huwa wakibanwa sana kwa maswali wanarudia kauli ile ile ya watoto kukatwa vichwa mara tena Kila siku wanabadilisha idadi ya watu walokufa upande wao na idadi inazidi kupungua....hapa nikaona Hawa ni waongo wakubwa....hata hii taarifa ya huyu ndugu yetu bado itakuwa na walakini...wanaweza kusingiziwa hao wanaoitwa magaidi lakini kumbe infact Hawa wazee wa kusema uongo labda wao wenyewe ndo wamewafyeka Hawa watu.....waongowaongo sana hawa
 
Israel kuna kilimo na ufugaji wa kisasa wa teknolojia ya hali ya juu.
Wengi tu wanaenda kujifunza hayo mambo hakuna Jambo la Siri nyuma ya pazia.
Hahahaha! Kilimo na ufugaji wa kisasa wa teknolojia ya hali juu? Yaani unatoka Tanzania unachoma pesa na nauli ili kwenda Israel kusomea ufugaji na kilimo?

What a shitty way to die.
 
Wanapigania UHURU wa nani? Freedom fighters wanajua wanachotaka embu niambie HAMAS wanataka nini?
Safi sana kwakutaka kujua
Hamas wanapigania uhuru wataifa lao la Palestine
Hamas ni freedom fighter
 
Alitekwa halafu akauliwa tangu oktoba 7
Mazayuni wanasema waliuwa wao wenyewe tarehe 7/10.

Huyo achukuliwe mateka na Qapalestina ana thamani gani?

Tuwe tunaficha ujinga, mateka wa kigeni wote waliachiwa na wapalestina na hakuwepo Mytanzania.

Hata yule wa kwanza alipatikana wapi? Ghaza?
 
Mazayuni wanasema waliuwa wao wenyewe tarehe 7/10.

Huyo achukuliwe mateka na Qapalestina ana thamani gani?

Tuwe tunaficha ujinga, mateka wa kigeni wote waliachiwa na wapalestina na hakuwepo Mytanzania.

Hata ytule wa kwanza alipatikana wapi? Ghaza?
😅😅😅Yaani habari ipo wazi kwamba no uongo yaani wakae na maiti miezi 2 😅
 
We ajuza una roho mbaya sana,Udini umekufanya umekua katili sana,kweli nimeamini "Meno ya Mwenzio utatafunia mchanga"..Nakwambia subiri siku moja yakukute haya uje ushangilie kama hivi.Karma
We ajuza una roho mbaya sana,Udini umekufanya umekua katili sana,kweli nimeamini "Meno ya Mwenzio utatafunia mchanga"..Nakwambia subiri siku moja yakukute haya uje ushangilie kama hivi.Karma
Ulitaka niseme nini ndiyo uuelewe kuwa ni ukweli?

Hivi wewe una akili haswa kumpeleka kijana wako nchi inapigana vita halafu akifa uje kulalamika?

Huo ni wehu.
 
Na huu ndio ukweli huyo bwana kauliwa na mayahudi
Mayahudi ni maji tu ya hovyo na maonho sanaaa hapa duniani
 
Watanzania wewngi ni wajinga sana, wajiulize yule wa kwanza alipatikana wapi?
 
Kijana akiwa mpumbavu tunajifariji kwamba akifika uzeeni atapata hekima na busara,lakini Mzee kama wewe akiwa mpumbavu hakika hakuna tumaini tena.
 
Hizo comments za kumtag zimekuja baadae sana wakati yeye kesharopoka maneno ya hovyo tayari.Sina uhakika na umri wako Mkuu na hata ukijibazana kwa lugha isiyo na staha kutokana na flow ya comments at least naweza assume upo in ur mid 30's inaeleweka lakini kwa mama tena mtu mzima mwenye ndoa ya zaidi ya miaka 40 kwa mujibu wa comments zake huko nyuma kwa mjadala tofauti, kushikwa na mhemko na kuanza kurusha maneno ya hovyo tena kwa Marehemu wa umri sawa na wajukuu zake inatia shaka sana utimamu wa akili yake.
 
magaidi ya kislam sio ya kuyaonea huruma kabisa,wapigwe hapo Gaza mpaka wachakae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…