Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Gaidi namba moja ni Israel akisaidiwa na gaidi wa kiduniani - Marekani!

Waisrael wanashindwa kuokoa mateka wao, hawajui walipo,, eti waweze jua mwili wa Mtanzania ulipo! Ujinga kabisa! Afu mnasahau kuwa Israel imeuawa wapalestina tangu enzi na enzi! Leo hii, eti mnawatetea! Shame! Israel ndo imemuua mtanzania, simple common sense (which is not very common!)
Na huu ndio ukweli mchungu ambao wengi hawataki kuusema
Hili suala sirikali ya Tanzania imedanganywa na mazayuni nayo imekubaliana nalo
Tanzania [emoji1241] munatakiwa mukate mahusiano yote na mazayuni kwahuu unyama waloufanya kwa mtanzania mwenzetu
 
Inna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun, wawekwe popote wanapostahili.

, wapo wengi sana hao kutoka nchi mbali mbali duniani waliouliwa na mazayuni wenyewe na mazayuni wamekiri kuuwa.

Ni mpumbavu tu ambae atapeleka mwanawe akasome israel, hivi huwa hamuelewi kuwa hiyo nchi ipo vitani kuanzia mwaka 1948?

Halafu cha kujiuliza, huyo mpumbavu alienda kusoma au kucheza disco?
Mama Faiza this is too much…
 
Serikali ya Israel imeijulisha Tanzania kuwa Joshua Mollel, kijana wa Kitanzania aliyekuwa anasoma nchini humo aliuawa mara tu baada ya kutekwa na kundi la Hamas mnamo Oktoba 7, 2023.
.
Kupitia taarifa iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje, Mhe.January Makamba, amebainisha kuwa ameongea na Mzee Mollel, baba mzazi wa Joshua, kuhusu ujumbe huo, na kwamba wanafanya mpango wa awali wa kuwapeleka Mzee Mollel na mwanafamilia mwingine pamoja na Afisa wa Serikali, nchini Israel, kuungana na Balozi wa Tanzania nchini humo na maafisa waliopo huko, ili wakutane na kuzungumza na mamlaka za nchi hiyo ili kupata taarifa za ziada.
 
Nyie si bado munaendelea kusapoti viongozi wa hovyo kutokea Africa kama kina raila na mfano wake wanaotaka kuwapeleka watu zao huko israhel
Tukiwaambia kama huko sio salama mnapinga
Kuna mataifa hapa duniani sio kabisa yakutembelea hata iweje
South na north korea hawa muda wowote kinanuka
Armenia na Azerbaijan hawa muda wowote kinanuka
Palestine inayokaliwa kwamabavu ilopewa jina la israhell huko napo muda wowote kinaumana
Sisi wapensa haki na amani tunaipa pole familia ilofiwa pia tunasapoti haki ya kujitetea ya hamas
Wakat huo huo tu nawakumbusha watanzania mmekubali kudanganywa na israhell mchana kweupeee
Afadhari wewe unawasilisha hoja yako kimantiki na kwa lugha yene staha.Inasikitisha sana kwa mtu mzima tena Mwanamke katika umri utu uzima na yeye kutumia maneno ya hovyo kuwasilisha hoja zake.
Nikirejea kwa point yako, pana Nchi pia za kiarabu ni fragile upande wa political stability lakini sababu ya umaskini wetu bado watu wanarisk na kwenda kufanya kazi .

Nakubaliana na wewe wakati mwingine madhira yanawapata watu sababu ya kukosa mwelekeo wa maisha hapa nyumbani wanaamua kurisk kwa kwenda kujaribu huko.Umaskini wetu ukichagizwa na aina ya viongozi tulionao kwa Nchi nyingi za Ki Africa ndiyo tatizo letu kubwa
 

Tal Chaimi, mkazi wa Kibbutz Nir Yitzhak, na Joshua Luito Mollel, mkazi wa Kibbutz Nahal Oz , waliuawa wakati wakishikiliwa mateka na Hamas katika Ukanda wa Gaza.

Miili yao yote miwili bado inashikiliwa na Hamas. Chaimi aliaminika kutekwa nyara lakini, ushahidi mpya ulionyesha aliuawa Oktoba 7 na mwili wake ulichukuliwa na Hamas hadi Gaza.

Chaimi alikuwa sehemu ya kikosi cha dharura ambacho kilitumwa kusimamisha shambulio la Hamas hadi waweze kuongezewa nguvu.

Chaimi aliondoka asubuhi hiyo baada ya kubainika kuwa Hamas wamejipenyeza Israel na kuwaacha mkewe na watoto nyumbani.

Waliporejea kikosini, Chaimi hakuwa miongoni mwao. Kikosi hakikuweza kumwambia mkewe mahali alipokuwa.

Chaimi alikuwa mkazi wa kizazi cha tatu wa Nir Yitzhak na mzao wa waanzilishi wake. Ameacha mke na watoto watatu.

Kumbukumbu yao iwe baraka
Mollel mwanafunzi wa Kitanzania wa kilimo alikuwa amewasili Israel wiki mbili tu kabla ya Mauaji ya Oktoba 7.

Mollel alikuwa akifanya kazi huko Nahal Oz kama mfugaji wa ng'ombe wa maziwa na alikuwa kazini siku ya mauaji hayo.

Baba yake alijulishwa usiku wa kuamkia leo juu ya hatma ya mtoto wake, inasemekana haamini na ameuliza chanzo cha habari hiyo.

Babake Mollel anawasili Israel usiku huu akiandamana na wawakilishi wa wizara ya mambo ya nje, kwa mujibu wa Kituo cha Wahamiaji na Wakimbizi.

UPDATE:
Kupitia Mtandao wa X, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amethibitisha taarifa hii.

Makamba ameandika “Tumejulishwa na Serikali ya Israel kwamba Joshua Mollel, kijana wa Kitanzania aliyekuwa anasoma chini Israel, na ambaye tulipoteza naye mawasiliano tangu tarehe 7 Oktoba 2023, na ambaye Serikali imekuwa inafanya jitihada kubwa kupata taarifa zake tangu wakati huo, aliuawa mara tu baada ya kutekwa na kundi la Hamas mnamo tarehe 7 Oktoba 2023. Nimeongea na Mzee Mollel, baba mzazi wa Joshua, kuhusu ujumbe huo wa Serikali ya Israel.

Tunaendelea na mpango wa awali wa kuwapeleka Mzee Mollel na manafamilia mwingine pamoja na Afisa wa Serikali nchini Israel, kuungana na Balozi wetu na maafisa waliopo huko, kukutana na kuzungumza na mamlaka za nchi hiyo ili kupata taarifa za ziada. Kwa ridhaa ya familia, na itakapobidi, tutatoa taarifa za ziada katika siku zijazo.”
Hamas ni magaidi wanatakiwa kufutwa kabisa ktk uso wa dunia asa mtz mwezentu kosa lake nn mpk hao wagaidi wanamuua inauma sanaa
 

Tal Chaimi, mkazi wa Kibbutz Nir Yitzhak, na Joshua Luito Mollel, mkazi wa Kibbutz Nahal Oz , waliuawa wakati wakishikiliwa mateka na Hamas katika Ukanda wa Gaza.

Miili yao yote miwili bado inashikiliwa na Hamas. Chaimi aliaminika kutekwa nyara lakini, ushahidi mpya ulionyesha aliuawa Oktoba 7 na mwili wake ulichukuliwa na Hamas hadi Gaza.

Chaimi alikuwa sehemu ya kikosi cha dharura ambacho kilitumwa kusimamisha shambulio la Hamas hadi waweze kuongezewa nguvu.

Chaimi aliondoka asubuhi hiyo baada ya kubainika kuwa Hamas wamejipenyeza Israel na kuwaacha mkewe na watoto nyumbani.

Waliporejea kikosini, Chaimi hakuwa miongoni mwao. Kikosi hakikuweza kumwambia mkewe mahali alipokuwa.

Chaimi alikuwa mkazi wa kizazi cha tatu wa Nir Yitzhak na mzao wa waanzilishi wake. Ameacha mke na watoto watatu.

Kumbukumbu yao iwe baraka
Mollel mwanafunzi wa Kitanzania wa kilimo alikuwa amewasili Israel wiki mbili tu kabla ya Mauaji ya Oktoba 7.

Mollel alikuwa akifanya kazi huko Nahal Oz kama mfugaji wa ng'ombe wa maziwa na alikuwa kazini siku ya mauaji hayo.

Baba yake alijulishwa usiku wa kuamkia leo juu ya hatma ya mtoto wake, inasemekana haamini na ameuliza chanzo cha habari hiyo.

Babake Mollel anawasili Israel usiku huu akiandamana na wawakilishi wa wizara ya mambo ya nje, kwa mujibu wa Kituo cha Wahamiaji na Wakimbizi.

UPDATE:
Kupitia Mtandao wa X, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amethibitisha taarifa hii.

Makamba ameandika “Tumejulishwa na Serikali ya Israel kwamba Joshua Mollel, kijana wa Kitanzania aliyekuwa anasoma chini Israel, na ambaye tulipoteza naye mawasiliano tangu tarehe 7 Oktoba 2023, na ambaye Serikali imekuwa inafanya jitihada kubwa kupata taarifa zake tangu wakati huo, aliuawa mara tu baada ya kutekwa na kundi la Hamas mnamo tarehe 7 Oktoba 2023. Nimeongea na Mzee Mollel, baba mzazi wa Joshua, kuhusu ujumbe huo wa Serikali ya Israel.

Tunaendelea na mpango wa awali wa kuwapeleka Mzee Mollel na manafamilia mwingine pamoja na Afisa wa Serikali nchini Israel, kuungana na Balozi wetu na maafisa waliopo huko, kukutana na kuzungumza na mamlaka za nchi hiyo ili kupata taarifa za ziada. Kwa ridhaa ya familia, na itakapobidi, tutatoa taarifa za ziada katika siku zijazo.”
So sorry
 

Tal Chaimi, mkazi wa Kibbutz Nir Yitzhak, na Joshua Luito Mollel, mkazi wa Kibbutz Nahal Oz , waliuawa wakati wakishikiliwa mateka na Hamas katika Ukanda wa Gaza.

Miili yao yote miwili bado inashikiliwa na Hamas. Chaimi aliaminika kutekwa nyara lakini, ushahidi mpya ulionyesha aliuawa Oktoba 7 na mwili wake ulichukuliwa na Hamas hadi Gaza.

Chaimi alikuwa sehemu ya kikosi cha dharura ambacho kilitumwa kusimamisha shambulio la Hamas hadi waweze kuongezewa nguvu.

Chaimi aliondoka asubuhi hiyo baada ya kubainika kuwa Hamas wamejipenyeza Israel na kuwaacha mkewe na watoto nyumbani.

Waliporejea kikosini, Chaimi hakuwa miongoni mwao. Kikosi hakikuweza kumwambia mkewe mahali alipokuwa.

Chaimi alikuwa mkazi wa kizazi cha tatu wa Nir Yitzhak na mzao wa waanzilishi wake. Ameacha mke na watoto watatu.

Kumbukumbu yao iwe baraka
Mollel mwanafunzi wa Kitanzania wa kilimo alikuwa amewasili Israel wiki mbili tu kabla ya Mauaji ya Oktoba 7.

Mollel alikuwa akifanya kazi huko Nahal Oz kama mfugaji wa ng'ombe wa maziwa na alikuwa kazini siku ya mauaji hayo.

Baba yake alijulishwa usiku wa kuamkia leo juu ya hatma ya mtoto wake, inasemekana haamini na ameuliza chanzo cha habari hiyo.

Babake Mollel anawasili Israel usiku huu akiandamana na wawakilishi wa wizara ya mambo ya nje, kwa mujibu wa Kituo cha Wahamiaji na Wakimbizi.

UPDATE:
Kupitia Mtandao wa X, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amethibitisha taarifa hii.

Makamba ameandika “Tumejulishwa na Serikali ya Israel kwamba Joshua Mollel, kijana wa Kitanzania aliyekuwa anasoma chini Israel, na ambaye tulipoteza naye mawasiliano tangu tarehe 7 Oktoba 2023, na ambaye Serikali imekuwa inafanya jitihada kubwa kupata taarifa zake tangu wakati huo, aliuawa mara tu baada ya kutekwa na kundi la Hamas mnamo tarehe 7 Oktoba 2023. Nimeongea na Mzee Mollel, baba mzazi wa Joshua, kuhusu ujumbe huo wa Serikali ya Israel.

Tunaendelea na mpango wa awali wa kuwapeleka Mzee Mollel na manafamilia mwingine pamoja na Afisa wa Serikali nchini Israel, kuungana na Balozi wetu na maafisa waliopo huko, kukutana na kuzungumza na mamlaka za nchi hiyo ili kupata taarifa za ziada. Kwa ridhaa ya familia, na itakapobidi, tutatoa taarifa za ziada katika siku zijazo.”
Hamas ni zaid ya Msiba. Poleni sana kina Mollel, Waarusha na WTz sote
 
Vita ni vita na haina macho. Huo ni msemo maarufu ambao ni fact vilevile.

Seriously though. Yaani sehemu zote za kwenda why the fuk uende Israel? Kuna USA, Canada, Uk nk. Why Israel? What so special about it? Unafuu wa maisha au amani? Besides kuwa kimada wa USA?

Mambo mengine ni ya kujitakia tu. It's not sad but pathetic.
 
Afadhari wewe unawasilisha hoja yako kimantiki na kwa lugha yene staha.Inasikitisha sana kwa mtu mzima tena Mwanamke katika umri utu uzima na yeye kutumia maneno ya hovyo kuwasilisha hoja zake.
Nikirejea kwa point yako, pana Nchi pia za kiarabu ni fragile upande wa political stability lakini sababu ya umaskini wetu bado watu wanarisk na kwenda kufanya kazi .

Nakubaliana na wewe wakati mwingine madhira yanawapata watu sababu ya kukosa mwelekeo wa maisha hapa nyumbani wanaamua kurisk kwa kwenda kujaribu huko.Umaskini wetu ukichagizwa na aina ya viongozi tulionao kwa Nchi nyingi za Ki Africa ndiyo tatizo letu kubwa
Heheeee dada FaizaFoxy kateleza inabidi tumuelewe tu
Kuna hoja alikua anataka kuiwasilisha ila naona kakosa namna nzuri tu yakuiwasilisha unatakiwa utulie sana ndio umuelewe
Hapo sasa nimekuelewa pakubwa dada ake ila viongozi wetu wanatukosea pakunwa sana kwahakika
Raia wa kiafrika wengi au wote hatuna sababu yakuishi ama kuhangaika hv tu hangaikavyo ila tu dah
 
Back
Top Bottom