Miji inayoongoza kwa vumbi Tanzania. Shati jeupe usiende nalo

Kinachoshangaza mkoa wa kigoma kuna viongozi wakubwa wametokea kule hivi wameshindwa kuupigania ule mkoa zile barabara zikapigwa lami? Imagine kuna vipande vipande kama mkate wa ajemi hapa na hapa lami kidogo vumbi la kwenda inakera sana
 
Mbon huko afadhali kunasehemu kama FAO na gongali hiyo usipime
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…