Miji inayoongoza kwa vumbi Tanzania. Shati jeupe usiende nalo

Lakini niliona mtandaoni wanaweka lami. Hayo maeneo uliyotaja yana unafuu.. ukisema utoke nje tu ya hapo utajuta.
 
Aloo sio mchezo karatu baba lao. Nilienda msibani kurudi wife anauliza kwani walikugeuza maksai nn maana nguo zinachafuka vumbi la maana. Lile vumbi la karatu unaweza ombea hata mkopo bank.
hahahahah.. lakini inasemekana ile ardhi ndo ina rutuba zaidi kwa kilimo kwa sababu hata madawa hawatumii na wanavuna.
 
Mto wa mbu hatuna vumbi baya aisee. Umetuonea sana. Vumbi letu linafanana na rangi ya silva. Sio jekundu aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…