ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hiyo ndio kazi nzuri ya Samia Kila sekta.Tunduru na Masasi ni Wilaya ambazo zinakaribiana japo ziko ndani ya Mikoa miwili tofauti ila Masasi inazidi kukua zaidi, Sasa hivi Masasi wanamiliki Council mbili ambazo ni Masasi District Council & Masasi Town Council.
Mara ya mwisho kupita Masasi ni May 2023.. Duuh Masasi ya sasa ina barabara za lami mitaani, Ile Hospital ya Wilaya Mkomaindo na vyuo ya Afya(Masasi- COTC) vyote vimeboreshwa. Pale sokoni Kaumu Maghorofa yanajengwa. Stand kuu inahamishwa ili kutanua Mji, stand ya kisasa itaanza kujengwa soon.
Wazee wa vitunguu...usiku hawalali pale madreva malory wanapumzika sana paleIlula napo sio Mchezo bila kusahau Ruahambuyuni. Nikipitaga huko naona kumechangamka.
Makambako sio Mji mdogoMakambako , growing township..baridi tu japo linapungua nadhani
Goziba
Bumbire
Kerebe
Katoro
Ikuza
Mazinga
Nyakanazi
Mtukula
Kibaigwa
Dumila
Kisesa
Tinde
Okay..ni hadhi gani kwa sasa?Makambako sio Mji mdogo
Mji wowote ambao unatambulika na Serikali kama Halmashauri ya Mji haiwezi kuwa kwenye hilo kundi.Okay..ni hadhi gani kwa sasa?
Asante sana mkuu kwa ueleweshoMji wowote ambao unatambulika na Serikali kama Halmashauri ya Mji haiwezi kuwa kwenye hilo kundi.
Imeshavuka huko,Ni kundi la Miji mikubwa ya kati ndio maana Ina Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mji.
Miji inayozungumziwa hapa Haina hiyo Hadhi,inachipukia.
Nakaziaaa!!Usipoiandika Mbinga ujue uzi ni batili
Hujafika Sumbwanga Rukwa mkuu.Tanzania hakuna Mji uliopangwa sio Mbeya tuu labda kidogo ni Dodoma
Ifakara hamna kitu. Hela za msimu, labda ruaha/kidatuWewe na Mzee wa kubujikwa machozi ni ndugu?
Mlowo sawa ila sio Vwawa
Nyangao i've been there hamna kitu labda miaka hii
Hio list ungeweka
Kasulu
Katoro
Ifakara
Matui
Kahama sio mji mdogo,mleta mada anazungumzia miji kama katoto n.k..km khm haitakuwamo uzi wako utakuwa wa hovyohovyo tu!
whats so special tinde kila mtu tinde..kuna pale didia ipo ndani kituo ni luhumbo shy vijijini usipime...kilimo na biashara vinakuja kwa kasi sana.. mlimba pia usipime pako kasi sana kilimo na biashara.... kwingine kagongwa biashara ya mchele... mtukula....muzani...Goziba
Bumbire
Kerebe
Katoro
Ikuza
Mazinga
Nyakanazi
Mtukula
Kibaigwa
Dumila
Kisesa
Tinde