Miji midogo midogo Tanzania ambayo ina vibe na fursa za kibiashara lakini haivumi

Miji midogo midogo Tanzania ambayo ina vibe na fursa za kibiashara lakini haivumi

Tunduru na Masasi ni Wilaya ambazo zinakaribiana japo ziko ndani ya Mikoa miwili tofauti ila Masasi inazidi kukua zaidi, Sasa hivi Masasi wanamiliki Council mbili ambazo ni Masasi District Council & Masasi Town Council.
Mara ya mwisho kupita Masasi ni May 2023.. Duuh Masasi ya sasa ina barabara za lami mitaani, Ile Hospital ya Wilaya Mkomaindo na vyuo ya Afya(Masasi- COTC) vyote vimeboreshwa. Pale sokoni Kaumu Maghorofa yanajengwa. Stand kuu inahamishwa ili kutanua Mji, stand ya kisasa itaanza kujengwa soon.
Hiyo ndio kazi nzuri ya Samia Kila sekta.

Mwisho ukiacha Tunduru,Masasa sio Mji mdogo elewa mada.
 
Okay..ni hadhi gani kwa sasa?
Mji wowote ambao unatambulika na Serikali kama Halmashauri ya Mji haiwezi kuwa kwenye hilo kundi.

Imeshavuka huko,Ni kundi la Miji mikubwa ya kati ndio maana Ina Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mji.

Miji inayozungumziwa hapa Haina hiyo Hadhi,inachipukia.
 
Mji wowote ambao unatambulika na Serikali kama Halmashauri ya Mji haiwezi kuwa kwenye hilo kundi.

Imeshavuka huko,Ni kundi la Miji mikubwa ya kati ndio maana Ina Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mji.

Miji inayozungumziwa hapa Haina hiyo Hadhi,inachipukia.
Asante sana mkuu kwa uelewesho
 
Goziba
Bumbire
Kerebe
Katoro
Ikuza
Mazinga
Nyakanazi
Mtukula
Kibaigwa
Dumila
Kisesa
Tinde
whats so special tinde kila mtu tinde..kuna pale didia ipo ndani kituo ni luhumbo shy vijijini usipime...kilimo na biashara vinakuja kwa kasi sana.. mlimba pia usipime pako kasi sana kilimo na biashara.... kwingine kagongwa biashara ya mchele... mtukula....muzani...
 
Back
Top Bottom