Chifu kibasila, jumbe tambaza, mshume kiyate, tewa said tewa, ramadhani minshehe wa mzuzuri, max mbwana, mshale kawambwa, said biboze (harambee), Sharif juned nkHivi watu wa Dar ni akina nani
Wivu huuUmevuta sigara kubwa we, sio bure!!!
Kubarikiwa sio Majengo mkuuHapo utasemaje mkuu?
Moshi mbona pa kizamani sana wala hapabadiliki miaka nenda rudi,nimewahi soma uko shule ya msingi mandela moshi mjini kwaiyo tusidanganyane apamoshi patamu sana yaaaan wewe achu tuuu duuuh lkn moshi hhahah patamu sana
Umewasahau wakina Mzee Shekilango, mzee Musahasan{Msasani} wakina Shabani RobertChifu kibasila, jumbe tambaza, mshume kiyate, tewa said tewa, ramadhani minshehe wa mzuzuri, max mbwana, mshale kawambwa, said biboze (harambee), Sharif juned nk
Tukaribie wapi?? Kibiti..!!?? Hapana kwa kweli
Kwa hiyo unajivunia Dar es salaam?Punguza uchizi wewe, apa Dar es salaam, wazazi wetu baada ya kufika awo ndugu zako wazaramo wamekimbilia maporini wameogopa changamoto. Ivi wewe unaijua Dar es salaam unasema sema kama kapuku, unajua kuna waindi tumezaliwa nao umu umu kwenye National housing na awajui Kiswahili. Unaelewa kwa nn? Awajui Kiswahili
Kwa iyo ujinga ulio nao Jaribu kuficha. Dar es salaam aina wenyewe wewe, ndio jiji tunaloishi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]unaogopa nn mkuu mm mbna naishi vzuli tuu tunalala SAA 10 tunapata afya kalib
Milima Yes! Ziwa na Bahari no! So hapa unasemaje?Nazungumzia
1. Mji wa Moshi.
2. Mji wa Arusha...
I'm telling you! Hii miji miwili ndiyo yenye baraka zaidi mpaka hiyo milima inaishuhudia.
Type Amen.
Kuibariki zaidi nawe utabarikiwa.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Dah hizo habari za kutype sijui nini peleka facebook...
hatari sana....Kesho tukutane hospital tukapime mkojo
Upuuuzi mtupu....vipi zao la bangi aka cha arusha mmeshaacha kulima au.?