Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

Wamebarikiwa pia kuchomana visu wakati upande wa pili wamebarikiwa kuua waume zao.....type amen
 
Kama miji hiyo imebalikiwa wakazi wake wasingekuwa wazururaji maana mmejazana kwenye mikoa ya wenzenu kama kwenu kumekuwa overpopulated halafu mnasema imebarikiwa na mungu.
 
Kama miji hiyo imebalikiwa wakazi wake wasingekuwa wazururaji maana mmejazana kwenye mikoa ya wenzenu kama kwenu kumekuwa overpopulated halafu mnasema imebarikiwa na mungu.
Ndiyo wanawaletea Maendeleo huko.

Kama Waisrael wengi marekani
 
yaani bora ungesifia kwetu Tanga Raha lakini huku kwa wanywa mbege na wavuta bangi hapafai kabisa, haya majamaa siku hizi yana sifa kuliko hata Wahaya
 
Kama miji hiyo imebalikiwa wakazi wake wasingekuwa wazururaji maana mmejazana kwenye mikoa ya wenzenu kama kwenu kumekuwa overpopulated halafu mnasema imebarikiwa na mungu.

Wacha wivu wa kimbwiga wewe
 
Kwa mtazamo wangu mimi miji iliyobarikiwa ni Morogoro,Mbeya na Kigoma japo wengi wao watakataa kuhusu kigoma kwa sababu ya uvivu wa kutembea kwa kua ni mbali tu.
 
Back
Top Bottom