Mijusi ndani ya nyumba; Dawa inahitajika

Mimi kwangu Kuna mijusi mingi chakushangaza nikisafiri na mijusi hupotea siku nikirudi tu ndani ya nusu saa wamerudi, Hadi hushangaa sijawahigi kuwaza kuwaua maana Wana umuhimu wao.
Unajuaje Kama wamepotea na ww haupo??
 
Sio paka dume tu hata paka jike husafisha sana nyumba mijusi wa aina zote wanaliwa tu.
 
Mimi kwangu Kuna mijusi mingi chakushangaza nikisafiri na mijusi hupotea siku nikirudi tu ndani ya nusu saa wamerudi, Hadi hushangaa sijawahigi kuwaza kuwaua maana Wana umuhimu wao.
Itakua kwako kuna wadudu wengi unaporudi unakuwa sio mtu wa kusafisha nyumba au unakula chakula kila sehem, jitahid kuwa msafi ... mijusi wanakua kwa wingi pale tu kunapokua na wadudu, mende, sisimizi .. wale wanaokula sukari n.k .. ili kuindoa chain hiyo usafi muhim
 
Mkuu HV hii ya nguvu za Giza ni kweli, maana Nina Dada yangu kaokoka uwa anapambana nao anawaua Yani akimwona ndani kwake bas kifo Mimi uwa naona Kama anawaonea ukizingatia Mimi bado mchanga Sana kiimani
Dada yako anapenda kuua tu viumbe vya mungu.. Ila nyumba kuwa na mijusi ni uchafu mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…