Mkuu mwaka gani iyo ..Hahah long long memory best !!!!!!
Mlima unaitwa ndororo!
Kipindi nilimaliza six, nilipata tempo flani huko,,,, ! Dah! Maisha ya kule achaaa !!!!!! Naikumbuka mitaa ya mahenge , nawenge,,, uponera n.k!
Mabus ya huko kipnd hicho Ni Moro best ,,, alsaedy na kidinilo ndo zinaingia ingia !!! [emoji2][emoji2][emoji1]!
Samaki wa motooo na ndz kivukoni pale,,,, Bei maandazi kabisa [emoji2][emoji1][emoji2]
Kipindi hicho nasoma pale KWIRO HIGH SCHOOL 2008--2010 nilikuwa naogopa sana pale kivukoni na ule mlima Ndololo ,ila kipindi nasoma pale vijana wengi walikuwa na videmu ST.AGNES SEKONDARI na REGNAMUND ila kuna mwanafunzi tulikuwa tunasoma darasa moja ,alikuwa anasoma HKL alimpa mimba mwalimu mmoja ,mwalimu KIMBUNGA akasuspend mpaka siku ya mtihani wa TaifaMkuu mwaka gani iyo ..
Nilikua kwiro pale 2007-2010.. tumepanda sana mafuso..
Mabasi machache afu kipindi cha mvua hayaendi. Nakumbuka moro best na ile chimpanzee [emoji2]
Duuh mademu wa huko ni wale wa kienyeji kabisaJuzi tumesafiri watu sita kwenda huko Singida ndani ndani kuna sehemu inaitwa Londoni. Imefika muda wa kulaza ubavu tukaona tutafute guest house tutulie, ila ndio tukakutana na kituko hiki. Na kiukweli hatukuwa na namna ikabidi tulipe elfu 8 kwa kila chumba.
NB: Na kimasihara ikatokea na nikala kama kawaida.
[emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 2495618View attachment 2495620View attachment 2495622View attachment 2495623View attachment 2495624View attachment 2495625
Empty hereDuhhhhhhh!!
hilo jina " London" limenikumbusha sehemu fulani hivi hahaa!
[emoji23][emoji23] kimbunga alikuja 2009, kabla alikuwepo mwingira.Kipindi hicho nasoma pale KWIRO HIGH SCHOOL 2008--2010 nilikuwa naogopa sana pale kivukoni na ule mlima Ndololo ,ila kipindi nasoma pale vijana wengi walikuwa na videmu ST.AGNES SEKONDARI na REGNAMUND ila kuna mwanafunzi tulikuwa tunasoma darasa moja ,alikuwa anasoma HKL alimpa mimba mwalimu mmoja ,mwalimu KIMBUNGA akasuspend mpaka siku ya mtihani wa Taifa
Nnapafahamu hapo japo sio kiivo... [emoji16][emoji16]Exactly chief bila shaka unapajua..... mie kuna moja ikanielewa yenyewe ikanitunuku kimasihara. [emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 2497551
[emoji23][emoji23]Exactly chief bila shaka unapajua..... mie kuna moja ikanielewa yenyewe ikanitunuku kimasihara. [emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 2497551
DuuuhSanaa, ni huko kwenye uchimbaji wa dhahabu.
Ndio mkuu, wana chuchu konzi na mikia ya maana.Duuh mademu wa huko ni wale wa kienyeji kabisa
Bila kusahau Super GonoHuko kuna machimbo na hizo ndo lodge zao[emoji23][emoji23].... sema kuna pisi za kisandawe acha kabisa wana mikia sana
Hata hivyo kuvaa dela ni kawaida yakoBila kuvaa dela la yule binti ningefia lodge ngoja nitakuja kueleza vizur
Serikali ina kazi sana kusababisha Taifa liwe la waliosomaExactly chief bila shaka unapajua..... mie kuna moja ikanielewa yenyewe ikanitunuku kimasihara. [emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 2497551
Malori ndio maana. Hungumalwa yanasimama sana.Ile ya mzee Samwel mwenyewe ya mwishoni kabisaa et ndio ilikuwa inaonekana nzuri kuliko zote kwa Shirima, japo kwanzia hapo Hungumalwa ,Mwamashimba, na Shirima kuna umalaya utadhani sio kijijini duuuh
Hahahaaa....Limekukumbusha london lounge nini
Hapana kule nilikua naenda likizo kumsalimia sista angu alikua anafanya kazi pale Mahenge!We umesoma wapi ifakara girls au st. Agness [emoji2]
Vujana wa Kwiro mlikuaga wakorofi huo mgomo niliusikiaga! Afu mlikua huru sana mnaachiwa sana pale sijajua sikuhizi![emoji23][emoji23] kimbunga alikuja 2009, kabla alikuwepo mwingira.
Yule kimbunga hatatusahau, kuna siku tulileta mgomo akakimbilia polisi.
Bora wameweka lami!! Kipindi cha mvua ilikua balaaa ni mwendo wa kudandia fuso tu duh! Kitambo sana!Sasa hivi una lami kuanzia chini tatizo pembamba sana kupishana na gari kubwa mtihani...kimtindo haswa wkt wa kupanda unaitwa mlima Ndololo.
We unaweza kweli kudandia lori baby?Bora wameweka lami!! Kipindi cha mvua ilikua balaaa ni mwendo wa kudandia fuso tu duh! Kitambo sana!