The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Na wewe jipigie mkuu unalia Lia nini?Wachina wadhajua kipa katoka, wanajipigia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe jipigie mkuu unalia Lia nini?Wachina wadhajua kipa katoka, wanajipigia tu
Kanda ya Ziwa mumeendelea kwa kula albino na kuongeza mzigo kwenye Nchi Kwa kuzaana kama simbilisi na kuharibu mazingira na mang'ombe yenu👇Mimi kila siku nasema hii nchi ni lazima tuuane ndio tuheshimiane. Nchi hii tuigawe sisi kanda ya ziwa tupate kipande chetu tufanye mambo yetu na mafisadi wa pwani wanaojua kuendekeza uvivu, urahisi na ushoga wabaki na yao. Roho inauma sana tunavyopelekwapelekwa na wahuni wachache
Na wewe kauze kwani umezuiwa?Kwa mikataba hii 15 iliyosainiwa huko china tuwe tayari kukuta wachina wakiuza kuku kariakoo bila kizuizi
Wewe mwenye uchungu umetusaidia nini?Huyu mama Wala hanaga uchungu na hii Nchi..tuwe makini tunaingizwa mkenge
WeweNani wa kuangalia hiyo Mikataba?
Atafute kama nani? Hakuna mkopo Zanzibar itapata bila Tanzania kutoa approver..Mbona Rais wa Nchi ya Zanzibar hahangaiki kutafuta mikopo ya nchi yake ?
Wajinga kama wewe Huwa mnapuuzwa na kuachwa na maujinga yenu kichwani mkarithishe watoto wenu.Tofauti ya bwana msoga na huyu bibi kizee sir-hundred ni jjnska tu, a wote MAJIZI hawana huruma na maisha ya waTanzania, hizo pesa za kuzurula nchi za watu zingetosha kuongeza visima10 nchini kupunguza uhaba wa maji.
Maji ta shida, mfumuko wa bei za vyakula, vifaa vya ujenz, pembejeo za kilimo, mabando kupanda lkn wao hawaoni, kazi yao kutia saini mambo ambayo hawataki tujue.
Hakika vizazi vijavyo vitatulaumu sana, maana hatuna tofauti na wale machief waliosainishwa mikataba ya ulaghai.
Hiyo 15mikataba haina jipya na haitosaidia kitu zaid ya kuwanufaisha wachina na mafedhuri wa kitanzania,
Tutaona kama hiyo mikataba ina jipya lolote la kumnufaisha mtanzania, kama itawabadiri maisha basi NIPO BANDANI PALE NIITENI MBWA NASUBIRI KUBWEKA[emoji23][emoji23]
Mlitoka wapi hapo Awali?Tunapiga kelele kwa sababu jikoni kwa sasa kunatia mashaka wapishi wanaonekana weupe mno .watanzania hatutaki kurudi tulikotoka tutawapandia juu ka mwewe dadeki
Wewe ni kipapa tu. Na si punde tutawaonesha kazi.Kanda ya Ziwa mumeendelea kwa kula albino na kuongeza mzigo kwenye Nchi Kwa kuzaana kama simbilisi na kuharibu mazingira na mang'ombe yenu👇
Acha walime kwani serikali iliwapa pesa? Wewe endelea kulalamika from January to disemba tuone kama utabadili maisha.Kwani sasa wachina si wanalima viazi na pilipili huko Iringa, Dar kuna mpaka bodaboda! Ccm ni laana!
😄😄😄😄😄😄😄😁😁😁😁😁 Kazi mnayoweza ni kula albino..Wewe ni kipapa tu. Na si punde tutawaonesha kazi.
aya maswali yako unayojiuliza na mimi nilijiuliza hivy hivyoHii mikataba ilitakiwa kusainiwa china au Tanzania?
Kuna mtindo mpya wa kwenda kusaini mikataba nje ya nchi je mikataba hiyo waziri wa sheria na katiba anahusika kuisaini?
Hii mikataba ikienda kusainiwa huko china wabunge wanakuwa wameipitia au kuijua au tunaenda kuisaini huko china tu?
Nimeuliza tu
Zaidi ya ujinga kichwani hakuna kitu unajua Kuhusu historical relationship ya Tanzania na China..Mikopo ya kichina ina riba ndogo mpk 4% tatizo lao ni ya mda mfupi. Hawakosei unapoingia lazima uweze dhamana kitu fulani. Ikiiva hauna wanakamata na kuendesha wanaendesha mpk hela ya ipatikane.
Waulizeni ZAMBIA, KENYA, MSUMBIJI, ANGOLA. Kuonea nchi za Africa. China anamdai Marekani $ 3.6 tril na Marekan anamdai $ 2.4 tril uko hapeleki pua. Africa ndo anaonea. Wameamua kumuita Mama watuingize chaka. Ndo hivyo tayari tumeishanasa. Wajanja hatari. Unasaini mikataba ya miradi materials zinatoka kwao. Mainjia wanatoka kwao alaf ni mkopo wenye mashart nafuu. Ujinga tu.
Nyerere alikataa ujinga huu ambao zaman ulikuwa nchi za Ulaya. Xax China kachukua hiyo staili.
Mwendo kasi Dar nondo zinatoka kwao eti zetu hazina ubora, ii ajira viwandani kwao ikue sis wetu wazulule mtaani bila ajira na miradi inafanyika nchini mwetu. Wehu.
Wewe kima umeona mkopo upi hapo kwenye mikataba 15 kabla ya kuropoka?Kuna miradi gani uliyoiona hapo..au ndio kutajirisha wana siasa kupitia hiyo mikopo...ambayo mwisho wasiku wewe na mimi ndio tunaenda kuilipa kwa maumivu...hao wahuni wanapita tu.
#MaendeleoHayanaChama
Rais gani aliesaini mikataba ukawekewa adharani? Si afadhali hata ya huyu anatupa taarifa wengine walikuwa wanasaini kimya kimya embu tujalibu kupunguza kelele za chuki kwa usalama wa afya zetu maana hii Pinga Pinga ya kila kitu aitotusaidiaWeka majina au otodha ya hiyo mikataba 15 iliyosaini huko china leo kama hutadondoka
nyie waswahili wa pwani zaidi ya ushoga mnajua nini kwani? Umoja party ndio nini? Kuna njia zaida ya moja ya kuua mbwa.😄😄😄😄😄😄😄😁😁😁😁😁 Kazi mnayoweza ni kula albino..
Nauliza tuu Umoja Party imefikia wapi? 😜😜
Wewe ulitaka akasaini na Nchi gani iliuone ana uchungu?Huyu mama Wala hanaga uchungu na hii Nchi..tuwe makini tunaingizwa mkenge
Sasa baba utaishia kulalamika kama ngedere 😄😄😄😄..nyie waswahili wa pwani zaidi ya ushoga mnajua nini kwani? Umoja party ndio nini? Kuna njia zaida ya moja ya kuua mbwa.
Hivi kuna siku tuliwahi kuhisi mabaya na ikawa tofauti?tuache kuhisi mabaya kila siku