Mikataba 15 iliyosainiwa huko China iangaliwe kwa umakini mkubwa, Wachina huwa hawakosei

Mikataba 15 iliyosainiwa huko China iangaliwe kwa umakini mkubwa, Wachina huwa hawakosei

Hivi wale Kabudi na lukuvi tuliambiwa Nazi yao kupitia mikataba ya serikali je na wao wameenda huko china
wapo wanalea wajukuu na wao ndio wameona kwenye taarifa ya habari kama wewe na mimi.😀😀😀
 
Baada ya kusamehewa kahela kadogo.
IMG-20221103-WA0066.jpg
 
Tukiendelea kuangalia maza, shaka na Yunus wanachokifanya tunapigwa
na kitu kizito mno.
 
Sasa baba utaishia kulalamika kama ngedere 😄😄😄😄..

Mwisho Wala mimi sio wa Pwani ,kwetu Njombe ila nimejifunza tabia zenu Sukuma gang kutoka kwa Mwendazake,nyie ni watu wa hivyo sana..

Mara 1000 watu wa Pwani ni Binadamu kuliko nyie takataka.
Tulia bwamdogo. Usinene ukamara.
 
 
Akisaini na waarabu, ooohhh tunauzwa kwa waarabu.
Akaenda kwa wafaransa , ikawa mabeberu wanarudishwa tena..
Sasa hata kwa mchina pia inakuwa kelele...mnataka nini, haya basi lipeni tozo zaidi tupate hela za miradi...
Wabongo mnachosha.....
WABONGO wengi ni kuku tu.
 
Hivi unajua kuwa China mpaka sasa anaidai pesa Tz ya ujenzi wa Reli ya TAZARA?.
Maana mmezoea kuwazushia China ubaya.
Kama anadai aikamate Tazara, na Ukumbuke huko zambia Mchina ameshika
 
Mikopo ya kichina ina riba ndogo mpk 4% tatizo lao ni ya mda mfupi. Hawakosei unapoingia lazima uweze dhamana kitu fulani. Ikiiva hauna wanakamata na kuendesha wanaendesha mpk hela ya ipatikane.

Waulizeni ZAMBIA, KENYA, MSUMBIJI, ANGOLA. Kuonea nchi za Africa. China anamdai Marekani $ 3.6 tril na Marekan anamdai $ 2.4 tril uko hapeleki pua. Africa ndo anaonea. Wameamua kumuita Mama watuingize chaka. Ndo hivyo tayari tumeishanasa. Wajanja hatari. Unasaini mikataba ya miradi materials zinatoka kwao. Mainjia wanatoka kwao alaf ni mkopo wenye mashart nafuu. Ujinga tu.

Nyerere alikataa ujinga huu ambao zaman ulikuwa nchi za Ulaya. Xax China kachukua hiyo staili.

Mwendo kasi Dar nondo zinatoka kwao eti zetu hazina ubora, ii ajira viwandani kwao ikue sis wetu wazulule mtaani bila ajira na miradi inafanyika nchini mwetu. Wehu.
TAZARA mpaka leo bado Mchina anadai pesa yake,mbona hajachukua Reli kuiendesha?.
Acheni kuwaona walioshika madaraka ni wajinga ili hali nyinyi hata familia zenu hamjui kuzitengenezea maisha ya siku za mbele huko!.
 
Back
Top Bottom