Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wadau leo vipi? Nina elfu kumi haina kazi, kwenye m-bet, nimempa swaz win 4:26, italy lose 5:32
mzigo ukikubali naondoka na mshiko huu 226632!
Betting is all about taking risk, ngoja nisubiri mshiko
 
Wadau leo vipi? Nina elfu kumi haina kazi, kwenye m-bet, nimempa swaz win 4:26, italy lose 5:32
mzigo ukikubali naondoka na mshiko huu 226632!
Betting is all about taking risk, ngoja nisubiri mshiko

du dalili za kula mzigo zishaonekana. Nakushauri tengeneza mkeka haraka wa emegence muue swiz
 
Hahahah mimi sikati tamaa, nutaendelea wekeza kwenye mikeka, meridian na iplay hadi kieleweke siku moja. Jana Italy kanimaliza leo nampa Nigeria kwani odds zake ziko poa, Nampa GG german na ghana. Nampa over 2.5 argentina
 
Nigeria atashinda, portgal atashinda pia. Afu huyu argentina aangalie sana
 
Hawa agentina vp mbona wanapaka marashi hawajui watu tushaweka mzigo mwingi
 
Wadau nimefatilia coment zenu nimetoka kapa! Ndo nataka nianze huu mchezo nimeona watu mkielekeza kujiunga ni kubofya *149*19#. Swali meridian inakuja kuhusiana vp na voda? Kifupi ningependa nijulishwe napitia stage zipi mpaka naanza kubet naomba mnielekeze A to Z.
 
Wadau nimefatilia coment zenu nimetoka kapa! Ndo nataka nianze huu mchezo nimeona watu mkielekeza kujiunga ni kubofya *149*19#. Swali meridian inakuja kuhusiana vp na voda? Kifupi ningependa nijulishwe napitia stage zipi mpaka naanza kubet naomba mnielekeze A to Z.

meridian ni kampuni tu ya beting haihusian na voda. M-bet ndo wanahusiana na voda
 
yani mpk wedikapu iishe hawa jamaa wenye kampuni za gambling watakuwa wamepiga hela ndefuuu!
 
Yaani we acha tu mie wamekula hela nyingi hadi sasa ila najua ipo siku zitarudi zote hizo walizochukua
 
Ghana wamecheza vizuri sana wish them all the best.
 
Dah! Germany kala mtaji wangu woooote na faida juu. Hii world cup nuksi tupu, bora ligi zianze tu

Niliipa 2+ mechi ya argentina na iran nimetupa mpunga wangu wote kwenye account mia na arobaini. Dah kweli jamaa wamepiga ela hili kombe la dunia
 
Back
Top Bottom