Mkuu C.E.O something is not right here, niliweka mzigo kwa Mara ya kwanza jana Tshs 10,000 ( nili Bet normal kwa M BET) Odds zilikua kama hivi
Cameron lose 1.05
Australia lose 1.35
na imetokea nimepatia, hela niliyotumiwa na MBET ni Tshs 14,175 ina maana nili risk 10,000 ili nipate 4175 tu? ebu nielezee hapa.... thnx in advance
Mkuu C.E.O something is not right here, niliweka mzigo kwa Mara ya kwanza jana Tshs 10,000 ( nili Bet normal kwa M BET) Odds zilikua kama hivi
Cameron lose 1.05
Australia lose 1.35
na imetokea nimepatia, hela niliyotumiwa na MBET ni Tshs 14,175 ina maana nili risk 10,000 ili nipate 4175 tu? ebu nielezee hapa.... thnx in advance
Mkuu C.E.O something is not right here, niliweka mzigo kwa Mara ya kwanza jana Tshs 10,000 ( nili Bet normal kwa M BET) Odds zilikua kama hivi
Cameron lose 1.05
Australia lose 1.35
na imetokea nimepatia, hela niliyotumiwa na MBET ni Tshs 14,175 ina maana nili risk 10,000 ili nipate 4175 tu? ebu nielezee hapa.... thnx in advance
we shukuru tuu hapo utaweka vocha week nzima..
Hahahaha ndomana kabla ya kubet huku kwetu tunaangalia odds vizuri sana, it doesn't make sense kurisk 10000 kwa kupata 3000 au 4000
Hahahaha ndomana kabla ya kubet huku kwetu tunaangalia odds vizuri sana, it doesn't make sense kurisk 10000 kwa kupata 3000 au 4000
we shukuru tuu hapo utaweka vocha week nzima..
Hahahaha ndomana kabla ya kubet huku kwetu tunaangalia odds vizuri sana, it doesn't make sense kurisk 10000 kwa kupata 3000 au 4000
Mimi leo ndo mwanzo na mwisho, both sides wanatakiwa Ku risk 50/50 like tossing a coin, how comes wao wale 10,000 then mie nile 4000? ngoja nibaki mtizamaji tu
Wengine tuna karibu mwezi hata hiyo buku 4 hatujala katika footbal, na karibu kila siku tunabet ila hatukomi.
Leo nampa Uruguay na Costarica win odds jumla ni 11 nampa 4000
Mkuu C.E.O something is not right here, niliweka mzigo kwa Mara ya kwanza jana Tshs 10,000 ( nili Bet normal kwa M BET) Odds zilikua kama hivi
Cameron lose 1.05
Australia lose 1.35
na imetokea nimepatia, hela niliyotumiwa na MBET ni Tshs 14,175 ina maana nili risk 10,000 ili nipate 4175 tu? ebu nielezee hapa.... thnx in advance
Mkuu Nakushauri ucheze mbili vinginevo utaliwa hapo kwa costa rica ndipo penye utata sidhani kama watoto wa malkia watakubali waondoke bila pointi.
Jamani leo tujilipue kwenye hizi mechi ngumu, nataka nimpe Uruguay,Costarica,Japan na Ivory