Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Haya jamani mimi nawapa hawa Uruguay na Colombia GG dollar 20
 
Au niwape over 2.5 nahisi kama watafunga goal zaidi ya mbili hawa watu
 
Watu tushajilipua tayari ngoja sasa tuangalie mechi maana usipojilipua huwezi fanikiwa. Ila ujilipue kwa akili jamani
 
Haya jamani mimi nawapa hawa Uruguay na Colombia GG dollar 20

Kijana unaeka pesa ming sana, km we ni fresher kwenye gambling nakushauri uwe unaeka ela ndogo ndogo kwnza, at least unaanza ht na dola 2 au 3,,kwa maelezo zaid google betting tips utazipata
 
Kijana unaeka pesa ming sana, km we ni fresher kwenye gambling nakushauri uwe unaeka ela ndogo ndogo kwnza, at least unaanza ht na dola 2 au 3,,kwa maelezo zaid google betting tips utazipata

Asante kwa ushauri, ila sababu hela zinajizalisha humo humo ninazotoa ni ndogo ya zile nilizoshinda
 
Jamani leo Netherlands vs Mexico na Costa Rica vs Greece predictions zikoje?

Hadi sasa moyo wangu unasita kumpa Netherlands ushindi maana mechi yao itakuwa ngumu sana na Mexico anaweza shinda
 
Daaah!! Muhind wa watu alikua keshaanza kucheka masikini wee...
 
Back
Top Bottom