Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Hahaaahaa...! Naona vijana mnapasuka tuu. Mimi kwa sasa ni mtazamaji kwa kusema kweli. Nikibet naweka mzigo katika basketball tuu. Tena live betting.
 
Daaaah... sio mbaya lakini usikate tamaa... ila kwa sasa ungepumzika tuu kama mimi..




hahahaa C.E.O unazingua :lol:




Naona bado hujaacha high risks, dalili tosha ya kukufanya upumzike kwa sasa na ujipange upya kwa msimu ujao ndugu..

Ndugu we acha tu leo ningekuwa na dollar 500 Costaricaaaa kanimaliza jana
 
Hahaaahaa...! Naona vijana mnapasuka tuu. Mimi kwa sasa ni mtazamaji kwa kusema kweli. Nikibet naweka mzigo katika basketball tuu. Tena live betting.

Yaani mie kwa kweli wamekula vidola vyangu ila rasmi nakaribia kuacha betting hadi EPL ianze maana najua mwanzoni nitakula hela sana
 
Jamani tuache kuwekea ushindi timu zilizopewa odds chache kuna kitimu kimepewa 1.01 nyingine imepewa 2.3 yule wa 2.3 hadi sasa ameshinda, thanks God niliweka over 2.5
 
Back
Top Bottom