watakupa tu huwa hailali siku hata jioni watakurushia. Namba zao zipo kwenye menu yao namba 5 wameandika mawasiliano sema kuwapata kaz mda wote wapo busy.. Huwa wanasema mashine yao ya m pesa iko slow kulipa watu wengi kwa wakati mmoja ndo maana inachukua muda.
Kama kawa leo mpunga nje nje uliza mechi yoyote nikusaidie kubet.
Kama kawa leo mpunga nje nje uliza mechi yoyote nikusaidie kubet.
CHL vs MAN U
mpe chelsea hata nyumba ya urithi we weka kwa chelsea
Jamaa wa Man U kanipiga mkwara hapa mpaka nimeogopa kubeti.
Hahahahaaaa
Aisee kweli. Kanipiga mkwara kwamba leo CHL haponi hata kidogo. Lazima apigwe tu. Nimeogopa kubeti nae. dah.
Daaa bologna 1-0 napoli
yani nimewatosa spurz na fiorentina nimempa higuian naye yupo one down
Daaa bologna 1-0 napoli
Hapa nabana mbupu* napoli wafanye mambo
Hapa nabana mbupu* napoli wafanye mambo
hapa nabana mbupu* napoli wafanye mambo
Hapa nabana mbupu* napoli wafanye mambo
Kie kie kie naendelea kaka naona leo mpaka zitapasuka