Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Sijui ni vodacom (m pesa) au m bet wanamatatizo au ndio utaratibu mpya hata siwaelewi?uwa naweka mzigo kwao sasa mpaka muda huu hakuna ticket hata moja walionilipa,bado siku haijaisha lakini nitawekaje mzigo ikiwa nilichopata hawajanipa na sina salio ktk mpesa?nipo kijijini sana kwa hiyo hakuna kampuni yoyote nitakayoweza kuamia.najua wahusika wapo hapa jf km ni hivyo basi wafanyie kazi ili tuweke mzigo mpya
 
Duuu game ya lok moscow hyoooo wkt MBET HAWAJANIPA CHANGU NA SINA SALIO.
Mpaka sasa MBET HAWAJAFANYA MAMBO.!MAJANGA SN KUMKOSA RIJEKA YAANI HAO JAMAA WANATOA SN USHIRIKIANO BUT KWA LOK.MOSCOW NA METALIST KHARKOW HASARA INGENIKUTA.
 

sometime hadi usiku wa manane ndo wanalipa.. Wanazingua sana
 
wakuu mkeka wangu wa ushindi NACIONAL,MACCABI TEL AVIV,NA YOUNG BOYS NAWEKA 10000
 
Psv 5,rijeka 2,zurich4,young boyz 2,na team flan ya sweden...
 
hiyo inaitwa 28+ yani unazuia magoli yasipatikane ndani ya dk 28 za kwanza mf goli lifungwe kuanzia dk 28 na kuendelea other wise umechanaaaaaaaaa
Mkuu mbona hii category cjawai iona au ni kwa baadhi ya game?
 
Naona leo ngoja niweke mzigp ktk corners na yellow/red card
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…