buswagg
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 728
- 1,352
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimezifata zoteKwa leo ni huo upendo nimeshare, nawatakia kila la heri. Weekend hii pia nimeweka mikeka yangu ya kimkakati.
Wikendi njema maafisa wote.
apigwe tu mimi ninasubiria magoli yaingie kambani!Marseille asipoangalia anapigwa hii game. Anashambuliwa sana japo anaongoza goli moja.
Boooooooooom[emoji4]
Wamefungana tayarAisee naona Marseille na strausburg wamekataa kufungana!
TunaendeleaBayern Munich vs Hoffenheim
Bookings over 2.5
Kisha tulia
Booooooooooom[emoji4][emoji23]
nimeona ubao tayar mkuu! Mambo si mabayaWamefungana tayar
Jamaaani boooooooooooom[emoji23][emoji23][emoji23]
Mpe mpaka vya uvunguni mkuuJamaaani boooooooooooom[emoji23][emoji23][emoji23]
haya wacha nmkumbatie honey sasa nimpe viuno, anashangaa tu why nafuraha sana kumbe nnayangu rohoni[emoji23]
Mwamba upo?? Natamani siku nikuone live.[emoji38][emoji38]Game za Afcon kama kawa under 2
Huyu hapa mwamba Rockcity native,,,,Game za Afcon kama kawa under 2
Ilinikuta kwenye mechi ya Paok na aris,,,,, viligi uchwara na mm basiYaani Timu Inaongoza Ligi, Imeshinda Mechi zake zote, Inafungwa na Team ambayo ni ya mwisho, na Ipoteza mechi zote [emoji2369]
This thread is your legacy....! Landmark!...Like a Zion mountain...!Game za Afcon kama kawa under 2