oko majimaji
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 790
- 2,079
Matatizo ya akili mkuu...labda akichungulia edit anaona inaclick kuliko mkeka wake origin.We jamaa ni boya sana.
Jamaa nae anamtafuta ubaya... alishakataa asiedit code zake. Aedit code za wengine za huyo aache.We jamaa ni boya sana. Anzisha uzi wako uwe unaandika matusi na code zako mwenyewe.
Ku edit code sio mbaya mbona mkuu. Binafsi sioni kama kuna shida. Ila huyu jamaa ni mkuda mkuda, ujuaji na umama mwingi.Jamaa nae anamtafuta ubaya... alishakataa asiedit code zake. Aedit code za wengine za huyo aache.
Halafu kama umechunguza jamaa hajaedit code kitambo.. ameanza na hiyo ya Jitu. Kwa hiyo kuna namna wanachezeana akili hawa.
EAEBE30 editedE1FF82A Sportbety
buswagg jana umefanya nikapata pesa....zawadi yako nitakupa au utachagua mwenyewe
Umeongea fact mkuu, mbona sijawahi kumuongelea member mwingine tofauti na huyo simbajike!?.... Sijui anachonitafuta mpaka sasa!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
JITUME BANDIA kavurugwaaaaaaaaa
Fungua account nyingine aisee lazima JF waku Bann
Yote kwa Yote sometimes unapotumia numbers of hours and time to fix the mkeka and mjuaji mmoja mwenye Nyota ya Duduvule akiigusa tu nuksii
Halafu mbaya zaidi utakuta yeye anasubiria tu watu waumize vichwa na pesa zao za MB Ili akipata Code basi Kazi yake ni kuitumia hiyo hiyo ionekane ametulia kuchambua mikeka kumbe hata MB 2 hajatumia.
NALIA NGWENA na SIMBA KALIA nasikia wamejinyonga
Nimepata taarifa hivi punde
Sijui ni kweli,haya,kama Uongo watakanusha wenyewe ukiona kimya ujue Marehem
Afsa kipenyo Ile Ngoma ya odds 41 nimeona kma inatosha hivi zile za Wales nimeruka nazo Kwa editing lkni5C846FD betpawa, mechi zote ni leo jumamosi. Odds elfu ishirini, option ya GG - yes/no.
Kila la heri maafisa.
We matroni kikoc unabalaa lako 🙏✅Leo ngoja niziunganishe nione cheche
Betting kitu hatari sana unaweza kuchagua hata team ya odd 1.01 na ikapgwa na team haijawai haijai shda match hata moja tena unashangaa mtu anapgwa 3 Nil na alikuwa na odd 1.01Alafu anakujaa Falaa mmoja anakwambia Unachagua mechi zako 2[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji706]
Hata mimi nawaza hvyo 😂Tuweni makini kanji nayeye anapost code humu😀