Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Umenena vema mkuu. Asa mtu akidhani mtu ni wakala wa Kanji afu akajichomeka mwenyewe anamlaumu nani si ajilaumu mwenyewe? Mtu unaona kabisa hii ni SUMU lakini unainywa, what do you expect?
Machungu Na Makasiriko Ya Kupigwa Na Kanjibahi Wanamtupia Asiyehusika Kweli Soko Gumu.

Code Zinatumwa Ni Hiari Ya Mtu Kuzitumia/ Kuzichukua Na Kuzifanyia Upembuzi Wa Kina Kulingana Na Matakwa Yako.

NB: Adui Yetu Mmoja & Kesho Nayo Siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…