Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Huyu PSV leo tunavyo muamini.


Wakuu Leo Bayern M na Madrid hawana Odds za kukufanya uwaweke kwenye mkeka wako, Unless uwe unajifurahisa na unataka kuwa na Timu nyingi tuu.
Dah usiseme hivyo chief,,,, nimejitela kwa man city kumbe anacheza tarehe 31 ,,,, odds ya kiboya alafu kabaki yeye tu,,,, hiyo cash out sasa dah,,,, inabidi nivumilie tu,,,, odds 1.15 imenizuilia kasalio ka kuosha nyota dah
 
Kama una gundu kwenye hiyo 17 ndo unaangukia huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…