oko majimaji
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 790
- 2,079
Wewe unataka watu miaka yote wabet tu wameamua kupumzika na wa sasa nao itafika kipindi watapumzika watakuja wengine ndivyo maisha yalivyo bwana mdogo.Hili jukwaa siku hizi limekuwa na mwelekeo usio mzuri ndio maana kuna baadhi ya wakongwe wameamua kujibetia kimya kimya, huwakuti wakiandika chochote humu.
° Kuna Proffesor mzee wa 10 minutes X simkuti humu
° Kuna mwamba alikuwa anaitwa going concern alikuwa anaweka stake za milioni 2 simwoni.
° Kuna yule hodari wa basketi pia simwoni
° Kuna jamaa yeye kaamua kukimbilia jukwaa la mapenzi kabisa
° Kuna yule alikuwa anatupia live, ikiboom anaandika "aisee" yeye stake zake ilikuwa 50k kupanda.
Mwanaume ukiwa na kiherehere na tamaa kwa hela za waume wenzio hukawii kuolewa! Acha utapeli wa kizamani! Kama hauna mtaji na unaona unaweza kula hela za uhakika si uuze hata hyo sim yako unayotumia kutaka kutapeli humu ili upate mtaji utrade vizuri ule hela uwe tajiri uje utuajiri sie wasomi wa jamii forum! Leta code au tupe njia tutrade wenyewe tukiona ina ukweli tutakukumbuka kwa chochote sio kuomba omba mitaji na kusumbua watu PMMkuu.
Naomba tag for me. Hao watu . Nakuomba tafadhali.. Nahitaji kuongea nao , serious aisee.
Ni Risk takers,Ambao they can stake higher . Nahitaji kushare nao jambo.
(Watapata hela wao , Ila namimi wakiniamini nitakua Kama wao).
Kuna mahali , Kuna codes nimezinasa , Codes nimezinasa . Namaanisha kabisa .CODE NIMEZINASA.
Sijapewa Imani TU.
Nisaidie mkuu.
#NI KWELI KUNA JAMAA ALIKUA ANA STAKE ADI 1M, NA ANAPOTEZA .
AISEE HUYU NAOMBA AISEE NATAKA KU SHARE NAE JAMBO.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Mkuu hii code yako kama inanikatalia hiviTujaribu kuishi humu.
Weka hata 100
kampuni sportpesa
code: qPQR35
Mkuu unaweza vuta code yako hii tena sportpesa? Au screen shotTujaribu kuishi humu.
Weka hata 100
kampuni sportpesa
code: qPQR35
Sawaa kiongozi nimekupata.Mwanaume ukiwa na kiherehere na tamaa kwa hela za waume wenzio hukawii kuolewa! Acha utapeli wa kizamani! Kama hauna mtaji na unaona unaweza kula hela za uhakika si uuze hata hyo sim yako unayotumia kutaka kutapeli humu ili upate mtaji utrade vizuri ule hela uwe tajiri uje utuajiri sie wasomi wa jamii forum! Leta code au tupe njia tutrade wenyewe tukiona ina ukweli tutakukumbuka kwa chochote sio kuomba omba mitaji na kusumbua watu PM
Odd 1.069 ulikuwa unaifata ili iwejee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ipswich Kulikoni [emoji28][emoji28]
hii ni leo asubuhi na code nilitoa humuUmeona ilitakiwa tuwe tunacheka mara kwa mara, lakini Kila siku mara moja mara ,mbili nimekosea , aisee , me nahitaji kusikia win tu, mara wengine wanashinda sisi wengine tusipo weka code , na izo code atuzioni.
Hongera sanahii ni leo asubuhi na code nilitoa humuView attachment 2884668
Odd 1.069 ulikuwa unaifata ili iwejee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]