Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Na bahati mbaya linaelekezwa halielewi, yaani hata halijui hii forum ni ya watu wa aina gani, Arrrrrgh!!!!!?
 
Hivi JITU BANDIA huwa anapost win tickets? 😂😂
Humu huwa tunapiga soga kupoteza muda wala si kuonyeshana ufahari unachokipata, ... Kwa mwenendo huu wa code👇👇

Jiulize wewe mwenyewe huwa nakula!? Ama sili!?

Ningekuwa sili... Ungeniona humu!?
Blazia yako uliyoileta humu...imeshararuka!...

Sisi Bado tupogo!

Akili kumkichwa!
 


Kwa namna unavyopenda sifa ungekuwa unakula atleast za maana lazima ungepost...hizo ulizoweka hapo na misifa uliyonayo ni tofauti asee 😂

Na misifa yote hiyo account yako ina TZS 0.01 🙌

Nwei,kama kuna anayejua maana ya neno BLAZIA nitaomba anipe maana
 
Jinga jinga tu lisilojielewa, anaelekezwa haelewi??? Sijui ni ‘he’ au ‘she’ yaani hajui hata hii forum ni ya watu wa aina gani dah!!!
Mkuu kuanzia kesho nitapost mara mbili tu kwa siku kwa hiyo usijali. Muda si mrefu tutashinda millions kutoka kwenye code yangu yenye link na promo code yangu. Relax
 
Account ya betting sio akaunti ya benki kwamba utunzie fedha zako!... Lini mtaelewa!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…