Genk kawa mwehu siku hizi ni kipigo tu ata akiwa homeGenk & Braga
hii si imechana?
Mbona mkeka ume-tick huo au mmeshindwa kutafsiri hiyo handicap ya Man City ambayo kimsingi ameshinda zaidi ya goli mbiliHuyu manzi sometimes achezagi code zake ndo tatizo
Mbona mkeka ume-tick huo au mmeshindwa kutafsiri hiyo handicap ya Man City ambayo kimsingi ameshinda zaidi ya goli mbili
Braga hisia zilisema hii game 1x nikabisha nikaweka mazima ni yeye tu kachana mkekaWakuu Hii Kazi Ni Ngumu sanaaa, Lakini siiachi, Sijui nifanye kustop huu Ujinga kwasababu kila siku ni kuliwa na Timu inayo chana ni moja
View attachment 2890389
Labda nikuulize swali simple tu,Mkuu, utapeli gani ikiwa kile ulichoahidiwa unapata? Mimi nimekuambia Jisajili PARIPESA Kwa Kutumia Link zangu na Promo Code yangu, na nikakuambia ukiweka pesa utapewa bonus ya asilimia 100, halafu ukajisajili kweli na ukaweka hela yako na kweli ukapata bonus yako kwa asilimia 100, nakuwa nimekutapeli vipi?
hao mafala wamenichania mikeka miwili, na sijui ilikuaje nikaweka option sawa kwenye mikeka miwili......Wakuu Hii Kazi Ni Ngumu sanaaa, Lakini siiachi, Sijui nifanye kustop huu Ujinga kwasababu kila siku ni kuliwa na Timu inayo chana ni moja
View attachment 2890389
kwanza aliandika won wakati game ya atletico iko ht, hilo tu lilinishangaza!Mbona mkeka ume-tick huo au mmeshindwa kutafsiri hiyo handicap ya Man City ambayo kimsingi ameshinda zaidi ya goli mbili
inawezekana siku hizi hatujui maana ya handcap......Hata mie nimeshangaa....ukiomba walete ushahidi wa walipochana kwa hizo game tatu wanaingia mitini
Uliweka mkeka?inawezekana siku hizi hatujui maana ya handcap......
city ameanza na gd ya -2, na kashinda 3:1, inakuaje win mkuu? nifundishe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna watu wa aina 2 wanaomponda Kayombo Tips:
1: wakamaria wa kawaida waliochoshwa na mitangazo kibao
2: mawakala wa Kanji; tunawatambua humu kwa mikelele yao kibao ya kujitamba wanajua kuanalyse, lakini codes/mikeka yao inachana daily hata mechi 2. hawa mawakala wanamjia juu Kayombo Tips wanaona kama anawaingilia.
kwako Kayombo Tips, sikukutei. punguza mitangazo mzee, mi mwenyewe unanikera.
Hio sio dawa ni Ujinga wako Mzee..... Kuna kampuni ya kubet uliifahamu tu bila kupitia Kwa mtu wala matangazo!?? Hivi mnasomeaga wapi Ujinga.... Na sisi tukapate ujuzi wa ujinga kiwango chenu....Dawa yake ni kumuweka kwenye ignore list tu maana hasikii
Ndiyo bila Promo Code hapati. Kwa mfano kama ukitumia Promo Code yangu kujisajili PARIPESA utapewa bonus ya asilimia 100, halafu kila Jumamosi ukiweka salio la kuanzia 24000 unapewa bonus ya asilimia 100 tena.Labda nikuulize swali simple tu,
Ni kweli mtu akijisajili kupitia promo code ndio anapata bonus ila bila promo code hapati?
Ni Sporting Cp tu ureno anaeaminikahao mafala wamenichania mikeka miwili, na sijui ilikuaje nikaweka option sawa kwenye mikeka miwili......
timu za ureno sitakuja kuzibetia tena,
Wewe ndio wakujiuliza ..... Just ignore....simple as ABCD....Jiulize why always you
Hapo umenena mkuu. Msongo wa mawazo unafanya watu watafute sehemu ya kupunguza mawazo yao.Stress za vipigo is real...watu wanahamishia hasira kwa mambo yaliyo ndani ya uwezo wao
We Mama code basiStress za vipigo is real...watu wanahamishia hasira kwa mambo yaliyo ndani ya uwezo wao
Sasa nimeelewa kumbe wanahamishia goli Kwa jamaa ..... Wanajaribu kipunguza machungu.... Basi sawa kama itawaisaidia kumla mhindi basi waendelee wasimuIgnore jamaa Ili aendelee kuwapa pumziko la vipigo na maumivuStress za vipigo is real...watu wanahamishia hasira kwa mambo yaliyo ndani ya uwezo wao
Unasema Leo namgongesha... Shida wakianza kucheza ...... Huotoamini macho na masikio yako ...Nilisema naacha kabisa betting ila kila nikitizama fixtures za mechi mbalimbali udenda unanitoka.πππ€·πΏββοΈπ€·πΏ
Halafu mkuu ni watu tu kadhaa humu. Niliwaambia yeyote ambaye amewahi kutumiwa ujumbe inbox na mimi au kumtumia mkeka binafsi aonyeshe hapa, hakuna aliye fanya hivyo. Wanaishia kusema mimi tapeli. Walete ushahidi wa utapeli wangu.Sasa nimeelewa kumbe wanahamishia goli Kwa jamaa ..... Wanajaribu kipunguza machungu.... Basi sawa kama itawaisaidia kumla mhindi basi waendelee wasimuIgnore jamaa Ili aendelee kuwapa pumziko la vipigo na maumivu