pole mkuu, uwe unajarib tips za odds kidogo, pia mwanzo nilipoteza sana but nkadecide only tips za odds kidogo, now nawin zaid kuliko kuloose, try that way utanishkuru badaeNimepoteza laki sita ivi ivi kweli Betting ni haramu aise
Naweza edit na kubaki na mechi moja tu au mbili nikaweka elfu kumi na mkeka ukalost piaSikukatishi tamaa na wala hakuna lisilowezekana kwenye mapambano na chini ya jua.Ila stake ya Tsh 85 kwa ushindi wa milioni 85 na kitu inafikirisha sana.All.the best
Nikiongeza arsenal na liver kwa utaratibu huu nitapotea ndg?
Inasikitisha sana aise huu mpunga wote amechukua mtu ambaye simjui ata surapole mkuu, uwe unajarib tips za odds kidogo, pia mwanzo nilipoteza sana but nkadecide only tips za odds kidogo, now nawin zaid kuliko kuloose, try that way utanishkuru badae
Imechana odd ya mbili dadapole mkuu, uwe unajarib tips za odds kidogo, pia mwanzo nilipoteza sana but nkadecide only tips za odds kidogo, now nawin zaid kuliko kuloose, try that way utanishkuru badae
Imekaa powa sipingi ankolNikiongeza arsenal na liver kwa utaratibu huu nitapotea ndg?
Yaani betpawa tangie watoe bonus zao huku hakuna mzuka tena Wala sioni win za maana tu, kipindi kile unadeposit 20k unatembea na codes zote za betpawa unaendelea na mambo mengine
Ila hawa wajinga Bora tuwakazie tu ivi ivi, wakiona wateja wamepungua watarudisha bonus tu
Jamaa naomba nielekeze namna ya kuweka hii 10 minutes draw! Kila nikianglia sioni option Foffana160A4C8 10 minutes draw odds 15 sportbet
Kila la kheri 🌟