Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
sijawahi kuona Code zako mzee yani wewe ni Taarabu non stopKundi la WAHUNI wa FACEBOOK wamehamia humu wakijua ndio watu wanatoboa kimaisha au wanatapelika na wao ndio wajuajiiii kumbe ujuaji wao humu tunawaona kama mapoyoyo wakuja tu na mazuzu fulani hivi ktk Comedy
Mwisho wake kila siku ni vituko t.
TunawaZOOM tu,mtatulia kimyaaa wenyeweeee
Hiyo page ipo X muda mrefu sana....sidhani kama ka claim kuwa ni ya kwake. Ana crop tu hizo picha then ana post ila si za kwake. Jamaa ni wanaijalinaitwa hivyo hivyo predict futbol nashangaa jamaa anajinadi eti ni yake😅😅😅😂😂😂😂
Hyo mbn iko wazi kwan tatzo lake n nn hapoHiyo page ipo X muda mrefu sana....sidhani kama ka claim kuwa ni ya kwake. Ana crop tu hizo picha then ana post ila si za kwake. Jamaa ni wanaija
we share code madam! Hayo mengine achana nayoingia insta or twitter mkuu or huko telegram if ako
maybe hataki wengine wawe wanawin awin yeye tu
au anataka niwe nashare kila slip nazocheza na niwapost waliopost?[emoji16]
linaitwa hivyo hivyo predict futbol nashangaa jamaa anajinadi eti ni yake[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂Mliobishana mmeshinda huo mkeka au tukaendelea kwa tipsmaster huku bado miyeyusho
yaani amenikera uyo kaka mxiuu na tukapigwa si uchawi huo[emoji16][emoji23][emoji23]
yaani amenikera uyo kaka mxiuu na tukapigwa si uchawi huo[emoji16]Mliobishana mmeshinda huo mkeka au tukaendelea kwa tipsmaster huku bado miyeyusho
leo ni siku yako ya bahat betNina mwezi sijabet
Weekend Zina surprised Co poa cjui kanjii huwa anabeti na yykwa wanaoandaa mikeka wenyewe. hakuna siku zinazokera kama jumamosi na jumapili. ligi ndogo kibao za Germany na England zinachosha.