Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

huko mkuu wanawajibu vipi kwamaan naona hata 888 hakuna option za mobile payment na majibu yao kwa upande huu kuwa zitarud lkn hawajui muda maalum,huko vp!
Huku hadi sasa hakuna majibu Mkuu, na sielewi itakuwaje, imenibidi kusubiri tu na kuendelea kuichezea polepole maana hakuna option.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Nime cash out hela ya maana tu sio mbaya! Barcelona kwa haka katimu huwa anahangaika sana ndo maana nikamuua Barca ila nimecash out hata kidogo kinatosha asije kuchomolewa 😂
 
Nimepambana toka mchana wa saa nane piga nikupige mpaka inafika saa nne usiku nilibaki na stake yangu.
Sasa hivi nimeidabo nimempiga wacha nilale, mimi mshindi kwa leo.
 
Bonus tunapata bila hata ya kupitia link zako. Wewe lengo lako ni wewe upate Wewe hizo bonus kwa kuleta wateja, sio kuweka mikeka watu wawin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…