Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Vamooos.


_20240211_101159.JPG
_20240211_101229.JPG
 
Very possible kwa wazee wenzangu wa Single bet kwenye Afcon


Uwezekano wa mabao macheche ni mkubwa mmno
IMG_4331.jpg




Japo mpira unadunda lakini kuna sababu nyingi Wenyeji kubeba hii ndoo
IMG_4332.jpg




Mchezo utakua na tension kubwa waamuzi watahakikisha hakuna makosa
Matumizi ya VAR yana nafasi kubwa kutokea
IMG_4333.jpg


Uwezekano wa Refa kwenda kujiridhisha upo mkubwa pia
IMG_4334.jpg


Stake what you can afford to lose [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Ligi pendwa leo iko ,,,, haya namungo, Dodoma na Yanga

Mi nimeona ddm na namungo win draw ila Yanga win
 
Mkuu ujue duniani shetwani bado hajafa. Kumbuka kuna wahitaji wengi ambao wanalia kila uchao kutafuta angalau hata mlo mmoja tu kwao ni changamoto.

Hivyo kuteseka kwao ndio fulaha ya shetwani. Na kwa bahati mbaya shetwani anajizihilisha kupitia watu.

Hivyo kama umeamua kutoa sadaka toa tu bila kuangalia shetwani anasemaje kupitia hao vibalaka wake

Maana hio code utakao toa hapa ni sadaka tosha sana (huwezi jua)
Sawa Mkuu.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
nigeria anashinda ft
kule ungreza man hu anaweza shinda au kudiroo. guimaraes handicap +1
 
Back
Top Bottom