Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Dah! Nime_cashout dk ya 90 [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35].... Hivi kuna namna ya kuondoa hii option????
20240210_223726.jpg
 
Tunahitaji Mtu mmoja Atuchambulie namna Ya Kubet siku ya JUMAMOSI

PUNTERS Wengi tunapata hasara siku ya Jumamosi

View attachment 2900006
Sportybey waliniwekea gift 18k nkalipuka af imekuj chana hii timu pekee ake na ki odds chak kidogo,huyu kanji anatumia mizimu so bure ,mtu kaongoz mpk 90+
Screenshot_20240210-223931_1.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20240210-223942.jpg
    Screenshot_20240210-223942.jpg
    25.1 KB · Views: 2
Yaani wakamaria sijui tunataka nini!!? Haya mambo ndio yalimafanya Invigilator aache kupost mikeka. Mbona tunaumia sana tukiona mtu anapost mikeka inayowin!!? Hata kama ametoa telegram si unyamaze tu. Moaka mtu ameamua kushare mkeka maana yake anataka na wengine wapate. Wengi wana magroup lakini hawapost. Tumuache apost kama huna stake za kufata mikeka yake wewe endelea na matreni subiri utashinda 85M kwa 200 mwaka 2045 ukishazeeka. Tuache chuki za kishamba.
Mkuu Mbochong'a humu ndani kuna shida kubwa mno, inafikia kipindi hadi mtu unawaza hawa raia wanahitaji watu wa aina gani humu kundini? Ukituma mkeka ukawin shida, usipowin tatizo. Kutukanwa na kuitwa majina ya ajabu, unashindwa kuelewa ni nini umewakosea watu.

Ndio maana wengine tumeamua kukaa kimya tu. Haina haja ya kusumbuana na kugombana na watu. Alhamudulilah Mungu anajalia KANJI anapigika haswa.
IMG_20240210_143703.jpg


Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Kuna mkeka niliuchukua Nigeria 2830 mechi 24 toka tarh 5 nikaudharau nikaweka 200 aisee unakwenda umebakiza mechi 5 tu za kesho ningeweka hata buku ingetoa hela nzuri badala ya hii 1m
 
Dakika 5 zijazo nakwenda kulost mikeka miwili kwa pamoja kwa ajili ya az alkmaar kushindwa kupata 2+.
 
Kuna mkeka niliuchukua Nigeria 2830 mechi 24 toka tarh 5 nikaudharau nikaweka 200 aisee unakwenda umebakiza mechi 5 tu za kesho ningeweka hata buku ingetoa hela nzuri badala ya hii 1m
Ile mikeka ilikua iko vizuri, ukiipata tena ilete
 
Luton [emoji2369]

Chesterfield [emoji2369]

Wolvers [emoji2369]

Cardif city hata Goal Moja? [emoji2369]
Wolves leo niliwawazaa weeh maana mpira waliocheza na Chelsea nilijua walimkamia,,,, ila nikajipa moyo wale ni wareno ujue wanaupiga mbaya kwa sasa,,,, Lol manyoko zao na wenzao Luton
 
Back
Top Bottom