Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Ime faint sana dada mkuu hakuna namna tuione vizuri? nakufuata hapa.
7884898 hiyo betway.
Huwa sioni code za hii kampuni humu so i assume most people hawaitumii. So unaweza kuiweka kwa ajili ya kuingiza code then ukahamishia kwenye kampuni yako pendwa.
itakuwa powa zaidi mamaa kma utatubless in form of code.........

ila shukrani ata kwa hiki
 
mkuu hiyo kwa man city ni moto
Hzo dakika ndo za magoli sasa hataamini atasema kanji ni mchawi 😂😂 Yan hzo dakika man city ndo atakuwa anamsaka mtu kwa mashuti makali kama yana moto 😂 na hyo option sio dakika tisini tu Yan ni mpaka mpira uishe kama zitaongezwa 8 ni mpaka hizo ziishe
 
Sijasema kuwa ina assurance ya 100% kuwin mkuu ila ukiweza kubashiri kwa mtindo wa 1X, 12 au X2 kwa kufuatisha Form ya timu na Game husika ni bonge moja la option. Kumbuka mpira una matokeo matatu tu so izo option zingine ni extra tu bookies wameweka kutuchanganya.
Hii option una asilimia 66 za kula na asilimia 33 za kupoteza
 
Kwa mikeka yetu ya 500 upate M tatizo itakua ni Odds hapo
Utakuta Simba win or draw vs Mtibwa odd ni 1.05 [emoji23][emoji23]
Kuna mwana huko X anajiita real nigger alikuwa anampiga kanji kwa stake za 500k-1M...akaanza kutukana wanaoweka stake za 500-10000 kuwa hawajui kubeti...sasahv analalamima huko kanji kamnyoosha vibaya kila akiweka 500,000 kanji anapita nayo.

Sasa hv anawaomba wana msamaha
 
Vamooos.




_20240220_184610.JPG
_20240220_184638.JPG
 
Msipuuzie sana hizi odd ndogo ndogo
IMG_4390.png


4HFAL

Stake what you can afford to lose [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom