Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Mpe over 0.5 yaani apate GoalVipi utopolo leo atawin? Maana odds zake 2.20 naztaka
Hakuna mshirikina aliefanikiwa hata mmojaπ€£π€£π€£π€£UTABIRI WA MECHI KATI YA ASEC MIMOSA NA SIMBA TAREHE 23 /02/2024
Siku hii jua lipo ktk nyota ya Samaki na mwezi ktk nyota ya Simba.
HALI ZA TIMU KINYOTA
Simba kinyota ni Mizani na Asec mimosa kinyota ni Punda.
Uwiano kinyota timu zote zipo sawa.
HALI ZA MAKOCHA
Kocha wa Asec mimosa ana nyota ya Simba na yule wa Simba ana nyota ya Mshale.
HALI ZA MAKIPA
MAKIPA wa Asec mimosa Wana nyota za Mbuzi isipokuwa mmoja mwenye nyota ya Samaki hivyo Kwa siku hii wapo vizuri Sana.
Kwa upande wa Simba MAKIPA wao Wana nyota za Kaa, Mashuke na n'ge Hivyo Kwa siku hii nyota ya Kaa na n'ge watafaa Sana.
MATOKEO YA MCHEZO
Mchezo huu una Kila dalili ya Sare ya goli 1-1
Au Simba kufungwa goli 2-1
Hivyo timu zote kufunga magoli jibu ni ndiyo
NINI KIFANYIKE
Kikosi Cha Simba kipangwe kulingana na Hali ya nyota Kwa siku hiyo.
Utabiri huu umezingatia nafasi ya mwezi na jua pia mipangilio ya sayari Kwa siku hiyo.
Unahitaji msaada gani mkuuAnayetumia betway anisaidie tafadhali
Namna ya kuwithdrawl na namna ya kucheza over/under kwa timu zote mbiliUnahitaji msaada gani mkuu
Leeo kivumbi na jasho[emoji2]Eeh leo ndo leo[emoji16]
Weka mkuu..humu Kuna watu Wa kila Aina ambao hawana appreciationhv code nilizoedit naruhusiwa kuziweka humu au ndo niache kilanga changu....!
Hahaaa, swala la kushindwa kwa Kanji ni kwa kila mtu. Kanji ameshindikana hata muungane wote huku.betting ni ngumu wazee. huyu jamaa anayekujaga kutukatisha tamaa kwamba hatuwezi, kumbe kitambo alishabeti sana akachemka. kwasababu yeye kashindwa anajua na sisi tushashindwaView attachment 2914214
Utabiri huu umezingatia nafasi ya mwezi na jua pia mipangilio ya sayari Kwa siku hiyoUTABIRI WA MECHI KATI YA ASEC MIMOSA NA SIMBA TAREHE 23 /02/2024
Siku hii jua lipo ktk nyota ya Samaki na mwezi ktk nyota ya Simba.
HALI ZA TIMU KINYOTA
Simba kinyota ni Mizani na Asec mimosa kinyota ni Punda.
Uwiano kinyota timu zote zipo sawa.
HALI ZA MAKOCHA
Kocha wa Asec mimosa ana nyota ya Simba na yule wa Simba ana nyota ya Mshale.
HALI ZA MAKIPA
MAKIPA wa Asec mimosa Wana nyota za Mbuzi isipokuwa mmoja mwenye nyota ya Samaki hivyo Kwa siku hii wapo vizuri Sana.
Kwa upande wa Simba MAKIPA wao Wana nyota za Kaa, Mashuke na n'ge Hivyo Kwa siku hii nyota ya Kaa na n'ge watafaa Sana.
MATOKEO YA MCHEZO
Mchezo huu una Kila dalili ya Sare ya goli 1-1
Au Simba kufungwa goli 2-1
Hivyo timu zote kufunga magoli jibu ni ndiyo
NINI KIFANYIKE
Kikosi Cha Simba kipangwe kulingana na Hali ya nyota Kwa siku hiyo.
Utabiri huu umezingatia nafasi ya mwezi na jua pia mipangilio ya sayari Kwa siku hiyo.
Apo ndio utajua ujui π π itafute sana elim mkuu πKwahiyo jua,nyota na mwezi ndio vinacheza uwanjani?
Congowe kwako mkuu ππ unae jua elim ya unajim π°ππΎππΎUtabiri huu umezingatia nafasi ya mwezi na jua pia mipangilio ya sayari Kwa siku hiyo
Mkuu usiunge kwenye ugomvi wa Mr pipa na WAtumishi wake mkuuπππHakuna mshirikina aliefanikiwa hata mmojaπ€£π€£π€£π€£
Wachungaji wenyewe walichemka Mechi za YANGA na SIMBA
Endelea kutupa Burudani lakini
Maana kina Mr.Pipa mnaanzia mikakati wenu mbaaaali,kisha mnanza mambo yenu,tunawazoom tuuu