Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

game za caf hazitoi gg......
game 7 mpk sasa hakuna gg......
 
Mbona kama unatokwa na povu??
 
Mbona kama unatokwa na povu??
uliona wap bakhesa anatoka povu labda trump kwakuwa anautaka uraisi tena ,,,, mi ndio mr pipa aka nabii tajir muuza odd vp kwani una swali jingine wenzako walini block na mwingine kani block sio muda baada ya kunishindwa,, sijui wewe utaniweza humu ndan ya post kuna miamba inajielewa sana wapo kama 8 hv ila mlio na roho za kuku ukimix na shida mlizo nazo lazima mumchukie nabii .. mr pipa.....hapa ni pini tu hatumrembei mtu asie jitambua
 
Acha taarabu.
 
Hiyo ya kila siku futa ....inategemea unacheza mikeka mingapi kula kila siku siyo shida ila pia lazima uliwe kila siku kikubwa ni mavuno yawe mengi kuliko hasara.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ila huu uzi siku hizi umekuwa wa vichekeshoo sanaa.. Hata facebook hao mafala 80 wa kuwauzia utumbo huwapati..
 
Mnajimu umetabiri uongo ,
 
Wakubwa kwema?

Poleni na mapambano dhidi ya Kanjibai.

Mnaionaje mechi ya Uto na Waarabu?

Mimi huwa napenda single game na-stake high...

Leo nataka nimpe Uto ashinde nataka kuweka 500k naona ana odds nzuri 2.10

Ushauri wenu.
Ilikuwa sahihi mkuu kama uliiweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…