Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Atletico madrid anabatizwa kwa moto 😬
Balaa zito,anachezewa mpira mwingii mnooo

Hii niliipa CORNERS over 7.5 na tumeishamalizana kitambooooo

Screenshot_20240301-011544.png
 
Wakuu kati ya VISA na mastercard ipi ni nzuri kwenye kutoa na pokea pesa?
 
Back
Top Bottom