Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Uzi wa mabroke na waomba buku buku za watu, fanyeni kazi achaneni na janja janja.
[emoji1][emoji1]
Unajikisiaje kutingisha matako mbele ya wanaume wenzako?

Wanaume hatuchekani, huwa tunanyanyuana na kusaidiana.

Hii tabia ya kufatwa pm na kuombwa ela sio ww tu, mm nimeombwa mara mbili elfu 5, kama hauna unakausha tu sio kukashifu wanaume namna hii.
 
Game ya maastritch vs dordrecht ya uholanzi kaa haijavurugwa ilikikuwa 3-1 na nimeipa over 1.5 timu zote zimetoa yeye naona matokeo hawaja update je hapo inakuaje wanasubiri nn kuingiza mpunga?
 
Naona vita ya waomba buku na waombwaji imeanza.

Kuomba sio kitu kibaya ila huwezi kumparamia mtu ambaye hamjuani ukamwomba, mtu wa karibu ndio solution namba 1.

Kingine mtu akikuomba kama hauna unasema tu hauna, kama unayo na hautaki kumpa unanyamaza tu. Ukimkashifu anajisikia vibaya hasa wakikumbuka wana vyeti kabatini tena walikuwa mawaziri huko walikopata vyeti, huku wanajaribu kutafuta bahati tu.

Kuna vijana wanaishi kwa kutegemea betting kitu ambacho sio sahihi. Ni vema ukawa na kazi ya kukuingizia kipato hata kama ni kidogo kwa siku halafu ukawa unatengeneza matreni yako ya 100 huko betpawa.
 
Wakuu kuna yeyote amewahi kumfuatilia huyu mwamba pale telegram anaitwa OLYM BET PRO??? Huyu ndiye mwamba wa Fixed game,, ningekuwa na visa/mastercard hakika ningekuwa mbali sana. Jamaa hana mambo mengi na wala haitaji hela ya mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…