Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Msiseme sijawaambia

Al Nassr leo inacheza Club Bingwa ya Asia,msiibetie kimazoea,Mechi ya league kachapwa 3 na kibonde,na ya leo anaechezanae allimchapa Al Nassr 1 Bila

Hiiii team sasa hivi haina dhamana kama Team yangu ya Chelsea

Al Nassr napita kama sikuoni
Nasubiria tu iwepo option ya corners nipite nayo

Baadae will come with Codes
Blessed All
 
We nae magazeti kila siku. Umeshaeleweka bhana. Kila mtu na akili zake humu.
 
Kuna code zingine zikiletwa tutaonekana wakala wa kanji🤣🤣 au mnasemaje ndugu zangu niwaleteeni lost
 
Hilo gazette linaandikwa baada ya kuliwa😄

kupoza machungu
🤣🤣🤣🤣
Mdau hata nikiliwa bado pia nakula
Sibeti kama Chakula kila siku
Kukusaidia tu hii nilipost Jana humu na ilitick na wenye kujielewa walifuata na wengine they edited it.

We umri huo kurupukia tu KAMARI kiboya,then Pambana na Hali Yako na post zako, nyingine pita tu kama huoni,kwani umelazimishwa ?

Trace it on my poats
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…