Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

watu mna hatari.
tip ya over 1.5 na over 2.5 zinaonekana kama simpo, lakini ngumu kishenzi. kwenye mechi 3 ni kawaida kuchana mechi moja.
mi nimeona isiwe tabu, nimeamua kuzitema
For sure, zinaonekana rahisi ukila ila mziki wake sio poa. Mfano mechi ya Alhilal mpaka dk ya 79 ilikua 0-0 nikajua imechana but Mungu mwema magoli yamepatikana dakika za mwisho
 
Mkuu naomba huu mkeka wa bookings
 
WENYE MTAJI TUWASILIANI ODDS NINA UHAKIKA NI 4 MALIPO BAADA YA KULA SIO MCHAWI ILA BETTING NAIJUA
 
Tupia Tsh:2,000 then tukutane kwa wakala either to draw or deposit
This is betting na haina assurance

ANGALIZO:- Humu hatuuzi Codes au Mikeka

Sportbety:- 0D6706


 
Kwa wale ambao hawana mitaji ila buku au jero anayo weka huu mkeka. Me nimewek 5000 ila nimeedit kidogo nikaongeza mechi ili wale buku au jero na nyie muweke.

Achana na matapeli wanaosema sijui odds za uhakika na blaa blaa za kipigaji. Me huwa naliwa lkn mara nyingi nabet odds 10 au 15 tu naweka ten au 5k basi na kwa wiki nabet mikeka mwiwili tu ili kujizuia nije kuifanta betting ajira.

Angalizo mechi hizi sio uhakika 100% ila ni asilimia kubwa kushinda kulingana na uchambuz wangu binafs kutokana na ligi zao zinavyoenda

View attachment 2937075View attachment 2937076View attachment 2937077View attachment 2937078
 
weka code
 
WENYE MTAJI TUWASILIANI ODDS NINA UHAKIKA NI 4 MALIPO BAADA YA KULA SIO MCHAWI ILA BETTING NAIJUA
kama wewe ni mkali wa kubet, weka hapa predictions za timu 20, kila mechi odd 1.3 kwenda juu. winning rate yako ikiwa 80% kwenda juu, tutakuona mkali.

weka hapa prediction ya mechi 20 tukuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…