Snapdragon 8
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,046
- 3,781
Liverpool wa kukosa goli moja aisee!!? Treni langu lilikuwa linatoa 950k leoUmeliwa pensheni ?
Sio hela we can't afford mkuu,kuna kitu kinaitwa time management unakomaa kufatilia timu plus muda wote unacheki mkeka unaacha cash out unaplan expenditure alafu mwisho wa siku 950k inapotea hata kama nimestake buku ila nikiwaza muda niliotumia kupata hamna ndo naumia zaidkwa vilio hivi nimegundua inawezekana humu wengi wanatumia ela ambazo they cant aafford to lose kubetia which is very bad, tujitahid tubet kistaarabu. Alafu kingine kuna watu wanabet kila siku, kubet kila siku= to addiction,
Unaacha kipindi kizuri ungemalizia tu msimu tupumzike woteNaomba nitangaze kuwa nimeaacha rasmi kubet mpaka hapo mwakani
Wote inakubali kuweka na kutoaHivi kati ya PARIPESA na HELABET ipo ambayo bado inafanya transactions kwa mobile parement za kibongo?
Naona wakala wangu 1xbet tumezinguana nataka niwajatibu hawa kwa wiki hii tu
Acha habari zako kama unapigwa ni wewe kaaa mbali hii ni kazi yetu wewe haikuhusu mkishapigwa mnageuka motivation spikaDuhhhh mtihani huo
Pumzika Mdau Kamari isikufikishe hapo
Ukweli mchungu,ikifika hatua mtu unaomba Pesa iwe humu au hata mtaani au kwa ndugu na marafiki kwa lengo ucheze Kamari,hatua hiyo ni mbaya mnoooo tena mnooo
Omba sana MUNGU akutoe huko,wapo watu mpaka sasa Mishahara imeisha kwa KAMARI
Nakushauri ni bora uwe mtumwa wa Kazi zako au Biashara zako mwenyewe kisha kipato chako mwenyewe ndio utumie kucheza KAMARI
Otherwise kuna age itafika mpa familia kuiingiza ktk maisha ya dhiki na fedheha kwa ajili ya Kamari
Watu Wengi wameuza smart phones zao Ili wacheza KAMARI then Kazi ni kuazima sasa sim,na kurejesha alichouza hakuna tena.
Uraibu wa betting kila ikifika Alkhamis,Ijumaanna Jmosi ndio watu wanakuwa kama wanawazim, wenye kuuuza,kukopa,kuchukua advanced Salaries,kuomba kwa watu kwa mtizamo kwamba ni wiki ya kitoboa
Hatimae Tangu umeanza kuomba,kuuuza vitu bado nafuuu hujaiona,kujipima Ingiza kwenye Lost record slip kisha utaona mtaji mkubwa uliopotea au pesa nyingii ulioingiza then thing on other to proceed or to terminate
Tuendelee Betting but kwa malengo otherwise at ages of 30 to 40 titakataana
Una mtajiWazee naombeni ushauri nataka mpaka mwezi wa 9 niwe nimefikisha million 10 nifanyaje wadau mbinu ipi nzuri ya kupunguza lose
Ndio ipo laki 9Una mtaji
Ndio ipo laki 9Una mtaji
Kabisa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji817][emoji817][emoji12] baada ya laki kuliwa tenaaa.Toa laki 8 fanyia mambo mengine ya msingi
Halafu laki moja bet hadi upate kiwango unachotaka hata kama ni bilioni moja........ Utakuja kunishukuru baada ya hiyo laki kuliwa
Sema wewe ndio hauna malengo nayo usitujumuishe wote mzee ukifeli wewe wenzio tunafauluKafanyie biashara mbona mwezi wa9 mbali tu!.
Pesa ya kubeti huwa atuna malengo nayo ukiweka malengo umeisha.[emoji817]
Sawa nimekupa ushauri hutaki basi toa laki kama ulivyo ambiwa ikipigwa akili yako itashituka ili uache ugonjwa wa kubet.[emoji16]Sema wewe ndio hauna malengo nayo usitujumuishe wote mzee ukifeli wewe wenzio tunafaulu
Sasa odd 3 mpka mwezi wa 9 siatakua na 100million kwa hesabu zamkononi?Cheza ods 3 ukizidisha umeisha masta
Mimi sijawahi kukosa 3 mkuuSasa odd 3 mpka mwezi wa 9 siatakua na 100million kwa hesabu zamkononi?
NB,ata 0.2 Odds zinachana.
Mkuu naona Paripesa hakuna kabisa options za kuweka kwa mobile paymentWote inakubali kuweka na kutoa
Hahahah[emoji12][emoji12][emoji16][emoji16][emoji16]hahahahahha.Mimi sijawahi kukosa 3 mkuu
Acha ushamba kupoteza ni kawaida kwenye betting inaonesha umekurupukia hii kaziSawa nimekupa ushauri hutaki basi toa laki kama ulivyo ambiwa ikipigwa akili yako itashituka ili uache ugonjwa wa kubet.[emoji16]