Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wenzenu wanaweka $200.
Wana bet mechi 3 (Arsenal, Real Madrid na Bayer Leverkusen). Odds zinakuwa 2.5

Anapata zake $500.

Wewe una bet kwa TZS 1,000. Kwa odds za 2.5 unapata TZS 2,500

Matokeo yake unaamua kuweka limkeka na mwisho mnaishia kulia Kila siku.
 
Helbet jana nmeangaika kutoa pesa inakataa, wamezngua ikabid niibetie nzima nzima ipotee tu juu kwa juu
Hao ndio tabia Yao, sometime unadeposit haifiki ukifuatilia wanasema waliirudisha kwako wakati hawakurudisha, mi walishanishinda
 
Uzi umekuwa kinyonge sana siku hizi! Au ndo athari za mabadiliko ya App ya JF? Binafsi updates za Jf App zimefanya nipotee humu na kuichukia JF mazima.
 
Hakuna sure ODDS
Hata odds 1 inaweza kuchana vilevile

Na hata hao wanapigika mnoo

Ila watu mnawaona kama miungu watu

Kuwin na high staking havihusiani
Waulize Mashabiki wa SIMBA

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…