Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Nimetengeneza mkeka kuanzia saa kumi na moja sporty.

Ukichambua usiwe mchoyo weka code tupite nayo...

8073E9
 
Sasa mjomba unachezaje kampuni ambayo haitambuliki na bodi ya michezo mbona sporty bet ipo poa tu option nyingi na inatambulika

Sasa unataka kuniamaanisha ya kwamba Paripesa haijulikani na bodi ya michezo ya ubashiri nchiniπŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Sasa unataka kuniamaanisha ya kwamba Paripesa haijulikani na bodi ya michezo ya ubashiri nchiniπŸ™„πŸ™„πŸ™„
Ndio haijulikani kwani haujui kama haijulikani hiyo kampuni ukizurumiwa hauna pakuwashitakina sio hiyo tu
zote ambazo zinafanana na 1xbet
 
Ndio haijulikani kwani haujui kama haijulikani hiyo kampuni ukizurumiwa hauna pakuwashitakina sio hiyo tu
zote ambazo zinafanana na 1xbet

Sasa kwanini wanaruhusu mtandao wa simu mfano vodacom,airtel halotel na tigo kutoa huduma kwa watu kwa kitu ambayo haina usajili?
 
Daah mpaka shingo inauma siyo kwa kuchungulia uku,leo mmeamua kufa wenyewe kimya kimya bila kushare code
 
Wawekezaji wenzangu naitoaje hiyo hela 1xbet? Sina pc na nalazimishwa nitumie PC.
 
πŸ’™Derry City vs shelbourne
πŸ’™#X
πŸ’™3.47 odds
 
πŸ’™Derry City vs shelbourne
πŸ’™#X
πŸ’™3.47 odds
 
πŸ’™ crystal palace vs Manchester UTD
πŸ’™#X&GG
πŸ’™5.50 odds
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…