Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Screenshot_20240505-145915.png
 
Nimetengeneza mkeka kuanzia saa kumi na moja sporty.

Ukichambua usiwe mchoyo weka code tupite nayo...

8073E9
 
Sasa unataka kuniamaanisha ya kwamba Paripesa haijulikani na bodi ya michezo ya ubashiri nchini🙄🙄🙄
Ndio haijulikani kwani haujui kama haijulikani hiyo kampuni ukizurumiwa hauna pakuwashitakina sio hiyo tu
zote ambazo zinafanana na 1xbet
 
Ndio haijulikani kwani haujui kama haijulikani hiyo kampuni ukizurumiwa hauna pakuwashitakina sio hiyo tu
zote ambazo zinafanana na 1xbet

Sasa kwanini wanaruhusu mtandao wa simu mfano vodacom,airtel halotel na tigo kutoa huduma kwa watu kwa kitu ambayo haina usajili?
 
Daah mpaka shingo inauma siyo kwa kuchungulia uku,leo mmeamua kufa wenyewe kimya kimya bila kushare code
 
Wawekezaji wenzangu naitoaje hiyo hela 1xbet? Sina pc na nalazimishwa nitumie PC.
Screenshot_20240506-124455.png
Screenshot_20240506-141234.png
 
💙 crystal palace vs Manchester UTD
💙#X&GG
💙5.50 odds
 
Back
Top Bottom