Grim Langdon
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 774
- 2,262
Kweli kabisaOya wakuu ligi karibu zinaanza wakuu Mwenyezi Mungu atutangulie na kutufungulia njia tukawe na wepesi wa kuweka matukio ambayo yatatokea tukapate mitaji kiasi kwa wapambanaji wote amen
Unaongea vitu ganiNipo betpawa nimesha claim rain wapi๐คฃ๐ watu wapo fasta kama mashine, mpaka kioo unaweza kusema kinataka kuvunjika aisee wadau kule noma๐๐คฃ matusi Sasa ya kufikia
Betpawa ana promotion ya kukupa stake ya kucheza AviatorUnaongea vitu gani
Hamkomi tuBetpawa ana promotion ya kukupa stake ya kucheza Aviator
Ni bando lako tu mkuuHamkomi tu
Kila la kheriNi bando lako tu mkuu
Hivi kati ya Aviator na Gold Rush ya Sportpesa ipi ngumu mkuu, ya Sportpesa ipo hivi Kuna mechi zipo 3 inatakiwa upatie mechi zote tatu kwamba ni timu Gani itakuwa ya kwanza kuifunga mwenzie na ni dk ya ngapi!?๐คฃ๐ Harafu Kuna mil 100 ๐ hiyo hapo pia unacheza BURE uweki stake ๐Kila la kheri
Friendly mechi zote hizo bado huoni timu ya kucheza mpaka ucheze hizo takataka?Hivi kati ya Aviator na Gold Rush ya Sportpesa ipi ngumu mkuu, ya Sportpesa ipo hivi Kuna mechi zipo 3 inatakiwa upatie mechi zote tatu kwamba ni timu Gani itakuwa ya kwanza kuifunga mwenzie na ni dk ya ngapi!?๐คฃ๐ Harafu Kuna mil 100 ๐ hiyo hapo pia unacheza BURE uweki stake ๐
Hatuna mitaji mkuu, kwaiyo tunatulia tu kama majiFriendly mechi zote hizo bado huoni timu ya kucheza mpaka ucheze hizo takataka?
Mungu mwenyewe hapendi tubeti hapo shida inapoanzia.Oya wakuu ligi karibu zinaanza wakuu Mwenyezi Mungu atutangulie na kutufungulia njia tukawe na wepesi wa kuweka matukio ambayo yatatokea tukapate mitaji kiasi kwa wapambanaji wote amen
Wacha tu huu umasikin sio mzuriMungu mwenyewe hapendi tubeti hapo shida inapoanzia.
kama huijui betting, Nakushauri ujipe Elimu zaidi kuhusu biashara hii kabla hujaianza.Wadau hapa Nataka nijue ipi kampuni Bora nataka niwekeze pesa kwenye betting hii miezi iliyobaki Ili nipate pesa ya ujenzi mwakani kwenye Kiwanja changu Sasa hapo ipi kampuni Bora kwenye hii tasnia Kwa mnaozijua vizuri ambayo Haina longo longo kwenye kutoa na kuweka pesa kiufupi kwenye malipo ipi ambayo Haina usumbufu
Naijua vizuri kuzidi wewekama huijui betting, Nakushauri ujipe Elimu zaidi kuhusu biashara hii kabla hujaianza.
wengi tuliingia kwa mbwembwe sana!
kilichotokea ni hasara kubwa sana iliyotuachia addiction isiyoachika kirahisi
Naijua vizuri kuzidi wewe
Naijua vizuri kuzidi wewe
Hata wewe unaweza kutumia piatumia kampuni ya huyu jamaa...View attachment 3047042