Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Nimepigwa kwa kugeuzwa geuzwa mpaka kuna kipindi unacheza odds 4 unaweka jero upate hata buku 2 napo kanji anapita nazoNimepigika mpaka sielewi hapa. Formula zote zile za 99% zinanikataa
Mnigeria huyo, Nchi chagua NigeriaMbona kila niki copy naambiwa invalid?
Ni kutembelea nyota ya kayombo,,,, upepo ukimkata una tembea na Joana maana kaupepo katageuka tu!!!
Nawasalimu,,, leo kuna pesa
Huyu Rangers ameshindwa kufunga hata goli moja. Hata hivyo Heart wamekomaa sana. Ila leo lazima tutashinda mkuuKwa Rangers huyu dah
badilisha mbinuNimeacha kubeti rasmi leo... naisi nina gundu
Hayo ma-stake Sasa🙌🙌🙌Nimeacha kubeti rasmi leo... naisi nina gundu
Niliuliza jana sikujibiwa..Mi hata kuingia Haiingii baada ya kudeposithivi paripesa hawana app, naona kwangu inagoma kabisa kuchagua timu na nishafanya deposit tayari...
🤣🤣🤣 Aiseee bado hujaachaNimeacha kubeti rasmi leo... naisi nina gundu
Me inagoma kuchagua timu tu aiseeNiliuliza jana sikujibiwa..Mi hata kuingia Haiingii baada ya kudeposit
Yani hata customer care haifanyi kzNiliuliza jana sikujibiwa..Mi hata kuingia Haiingii baada ya kudeposit
Pole,,,Nimeacha kubeti rasmi leo... naisi nina gundu