Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Dah! Pole sana mkuuKanj alishakula pesa yangu nyingi kwa kufuatisha odds zake. Nilikuwa naweka stake kubwa kwa anayepewa nafasi ya kushinda, ila nilichokuwa nakutana nacho sasa...! 🙆
Uncle bright kama inaelekea hivi1x ashinde Yanga au draw
Hamia Sportybet utanishukuru.Wakuu naomba mnisaidie site gani nzuri ya betting..odds nzuri,option nyingi alafu Haina mambo ya kitapel.. kati ya hizi
Sportybet
Sportpesa
Wasafibet..
Mwanzi nilikuwa naitumia sana wasafi ila naona kama kua mechi baadhi ya option hawaweki wakat ukiangalia kwinngine unazikuta na sport pesa nao naskia wapo vizuri ila option zao chache sana. Em kama zipo Bora zaidi na nyepesi nisaidieni na ambazo masuala ya cash out yapo vizuri
.. ahsanteni
Hamia sportybet kuna options nyingi na odds nzuri, utofauti wake ni kwamba mechi za nyumbani huwa wanachelewa sana kuziweka ukilinganisha na sportpesa.Wakuu naomba mnisaidie site gani nzuri ya betting..odds nzuri,option nyingi alafu Haina mambo ya kitapel.. kati ya hizi
Sportybet
Sportpesa
Wasafibet..
Mwanzi nilikuwa naitumia sana wasafi ila naona kama kua mechi baadhi ya option hawaweki wakat ukiangalia kwinngine unazikuta na sport pesa nao naskia wapo vizuri ila option zao chache sana. Em kama zipo Bora zaidi na nyepesi nisaidieni na ambazo masuala ya cash out yapo vizuri
.. ahsanteni
1XBET nsio shuluhisho la ugonjwa wakoWakuu naomba mnisaidie site gani nzuri ya betting..odds nzuri,option nyingi alafu Haina mambo ya kitapel.. kati ya hizi
Sportybet
Sportpesa
Wasafibet..
Mwanzi nilikuwa naitumia sana wasafi ila naona kama kua mechi baadhi ya option hawaweki wakat ukiangalia kwinngine unazikuta na sport pesa nao naskia wapo vizuri ila option zao chache sana. Em kama zipo Bora zaidi na nyepesi nisaidieni na ambazo masuala ya cash out yapo vizuri
.. ahsanteni
Huko nasikia kuweka hela na kutoa ndio shida simjui ni kweli?1XBET nsio shuluhisho la ugonjwa wako
Sasa hivi sio shida, mpaka dollar tunaweka.Huko nasikia kuweka hela na kutoa ndio shida simjui ni kweli?
Sportybet nzuri zaidi.....Wakuu nimepitia pita hapo comment za wadau naona ngoja niondoke na sportybet ...
Nashukuru ila naomba mnisaidie na option ambazo ni rahisi..binafsi nacheza sana normal (3way),over na (double chance & over)..Sportybet nzuri zaidi.....
Option zenye uafadhali kidogo kwangu mimi naona ni zifuatazo ila zinakuwaga na odds chache sana ila kama ni high staker zitakufaaNashukuru ila naomba mnisaidie na option ambazo ni rahisi..binafsi nacheza sana normal (3way),over na (double chance & over)..
Nataka kuifahamu vizuri option ya corner na handicap
Option zenye uafadhali kidogo kwangu mimi naona ni zifuatazo ila zinakuwaga na odds chache sana ila kama ni high staker zitakufaa
Win to nil home/away team hapa unaweka no kwa team dhaifu kidogo
Handicap
Any team to score three goals in a row weka no
GG 2+ weka no
Kwa sportybet naona ni hizo
Unaweka kwa Mtandao unatoa kwa mtandao hakuna Shida YOYOTE, kila siku naweka na kutoa MWENYEWEEEHuko nasikia kuweka hela na kutoa ndio shida simjui ni kweli?