Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
0-5Wanangu wa kubet , fenerbahce fc katokaje maana nashindwa mcheki na amebaki yeye tuuu ???? Naogopa kuanguka
Shukrani sana. Mwanangu wa kubeti
imepoteza sababu ya Roma na nikionyesha stake zangu cdhani kama itakusaidia ,,,, ni mm ndo najitambua na nilichopoteza ni zaidi ya hiyo so take easy ndg,,,,, mm poyoyo nimepuyanga kwa romaHamna kitu hapo hiyo pesa huwezi kumpa timu kama Roma ambayo kwenye ligi haijui inatafuta nini inacheza Ili na yenyewe ionekane ipo serie a
danganya hao haoWe tambua n
imepoteza sababu ya Roma na nikionyesha stake zangu cdhani kama itakusaidia ,,,, ni mm ndo najitambua na nilichopoteza ni zaidi ya hiyo so take easy ndg,,,,, mm poyoyo nimepuyanga kwa roma
Kiongozi kwangu naona mfumo wa Vodacom kutoa pesa kwa leo Paripesa hawajaweka kabisa ila kuweka pesa iko sawa.Mkuu lakini watu wanaponda kampuni za Mrusi ambazo zinatuingizia hela mara nyingi kuliko Sportybet, ila sisi leo tunaendelea kumpiga Mrusi, wao waendelee kumpiga mhindi😎. Baadae kidogo ngoja niandae.
Hizi ndio stake zako halisi! Sio zile za PariPesa unazotumiwa na mabosi wako kuingiza watu kwenye kutapeliwaView attachment 3079729
Today's Picks On Sportybet
Booking Code: 1F7B68
Be there👉 Kayombo Tips ⚽🥎🏈🎾🎱🏀
Choose Country Tanzania to load the code.
Jaribu kwa mtandao mwingine kama unao edit tu hapo kwenye namba za simuKiongozi kwangu naona mfumo wa Vodacom kutoa pesa kwa leo Paripesa hawajaweka kabisa ila kuweka pesa iko sawa.
Stake iko wapi??🤣🤣Hizi ndio stake zako halisi! Sio zile za PariPesa unazotumiwa na mabosi wako kuingiza watu kwenye kutapeliwa
Sawa boss wangu. Maana wewe ndiye unayenijua vizuri. Wewe kwenye huo Mkeka Wa Sportybet umeona nimestake au nimetuma Code? Mimi nimetuma Code, nikuoneshe hela niliyo stake kwenye huo mkeka?Hizi ndio stake zako halisi! Sio zile za PariPesa unazotumiwa na mabosi wako kuingiza watu kwenye kutapeliwa
Mkuu yeye amesema nimestake hapo. Sasa sijui stake iko wapi hapo.Stake iko wapi??🤣🤣
Huoni utafauti wa stake anazoweka kwenye sportybet na zile za mamilioni kwenye PariPesa??Stake iko wapi??🤣🤣
Kampuni yako ya kitapeli! Nimeweka buku tatu nataka ni withdraw wananiambia mpaka ifike buku saba, wewe ningekuona live ungeondoka unalia umeniingiza kwenye kutapeliwaSawa boss wangu. Maana wewe ndiye unayenijua vizuri. Wewe kwenye huo Mkeka Wa Sportybet umeona nimestake au nimetuma Code? Mimi nimetuma Code, nikuoneshe hela niliyo stake kwenye huo mkeka?
Hiyo stake mkuu iko wapi mkuu?Huoni utafauti wa stake anazoweka kwenye sportybet na zile za mamilioni kwenye PariPesa??
Tuma sasa hiyo stake ulioweka kwenye sportybetHiyo stake mkuu iko wapi mkuu?
Jaribu kwa mtandao mwingine kama unao edit tu hapo kwenye namba za simu
Wewe ndiyo uelewa wako mdogo. Kampuni za Mrusi ukiweka hela lazima ubetie kwanza ndipo utoe. Huwezi toa hela kama hujabetia.Kampuni yako ya kitapeli! Nimeweka buku tatu nataka ni withdraw wananiambia mpaka ifike buku saba, wewe ningekuona live ungeondoka unalia umeniingiza kwenye kutapeliwa
Umetoa mkuu?Amesharudisha mfumo wa M pesa tayari🥂🍷🥂🍷🥂🥂✅✅✅✅✅