Daah una moyo sana mkuu.. Yaani kila lawama unaijibu. Mtu kama ni kichwa ngumu achana nae wala usijieleze sana. Yaani mtu anasema eti umemuingiza chaka.Mkuu betting siyo rahisi kiasi hicho. Hata wachambuzi na magwiji wa michezo wanabet kila siku lakini je wanashinda kila siku? Unadhani hata mimi ninapo beti napenda hela ipotee? Katika hili jukwaa wewe jamaa umejaa lawama sana na mtazamo hasi.
Unaposema unaenda Sportybet ni kama vile huko Sportybet wanakupaga hela ya bure. Nenda tu Sportybet mwamba, tunatarajia kila siku utakuwa una post hapa Won Ticket. Uwe unapost Code zako hapa za Sportybet mwenyewe nitazichukua nitatia hela nzuri tu. Natumai tutakuwa TUNASHINDA mara 5- 7 katika wiki..
Option GaniWakuu sportybet ameanza kuminya options, yaleyale ya betpawa
O
Option Gani
Hiyo mbona kawaida nikajua kaanza na over 3 halafu mechi ipo 0-0 dakika hiyoUnakuta game ipo dakika ya 60 halafu yeye ameanza na over 1.5
Daah una moyo sana mkuu.. Yaani kila lawama unaijibu. Mtu kama ni kichwa ngumu achana nae wala usijieleze sana. Yaani mtu anasema eti umemuingiza chaka.
Well, nimekupata vizuri maelezo yako. Of course hawa wanaojiita punters ambao wana promo codes kuna technics wanazitumia ili kunufuaika.Hakuna anayesema ameingizwa chaka. Ninachosema mimi ni jamaa kutuma won pekee ili kuwavutia watu kwenye hiyo kampuni. Tena hatumi won tu, bali anatuma na tangazo la kujiunga na kampuni fulani ya kubet.
Unajua kwanini hatumi lost ticket?
Nikupe mfano mdogo tu, hapa anasema amepata faida ya 80k jana. Wakati alituma mikeka 5 ambayo thamani yake ilikua ni 1900000.
Mkeka uliotoa ni mmoja tu ambao stake ilikua 100k faida ikawa 80k.
Akija mtu ambaye hakufuatilia mlolongo wa code za jana, tayari anaingia chaka kuwa jamaa ni kuwin tu huko paripesa. Kumbe aio kweli. Lost zipo za kutosha kama huku tulipo.
Hili ndilo ninalolisema mimi. Sijaanza leo kubet nilalamike yeye kuniingiza chaka
naona mikeka yako karibu yote game ya Jkt vs Azam umeipa over 1.5 goal.
Vizuri Mdau kwa ku edit Ili nisibebe lawamanaona mikeka yako karibu yote game ya Jkt vs Azam umeipa over 1.5 goal.
vp azam akishinda 1 kwa bila?
utakuwa umeachana yote..
nimeifata mikeka yako lakini nimechambua baadhi ya mechi.
nashukuru..