willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,071
- 1,303
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kampuni ya 888Starz ni nzuri in terms of display na markets na uwingi wa live games...but hawana CASH OUT 😡😡😡
Oya nitaua mtuuuuu kuna hela zangu kuleHawa jamaa hawanaga CASH OUT!!!😔
Vigezo vya CASH OUT yao vipoje....?? Mfano SPORTSPESA wanatada matokeo ya 1x2.Mkuu Wana Cashout. Cashout Ipo.
Cashout ni pale Mkeka unapoenda vizuriVigezo vya CASH OUT yao vipoje....?? Mfano SPORTSPESA wanatada matokeo ya 1x2.
Kwa maswali kama haya mtamchangia sana Muhindi hela ya kwenda VacationWaheshimiwa leo magoli yatakuepo kweli kam jan
😁😁😆Leo nimeweka mikeka Betpawa 3,Sportybet 3,PariPesa 3,Sportpesa 3, na 888STARZ 3,,,Itiki ichanike vyovyote asubuhi naenda morning glory natubu pepo la jokeri liniachie. Nimetimiza miaka 11 kwenye game, nastaafu
Pepo linaenda likizo haliwezi kutokaLeo nimeweka mikeka Betpawa 3,Sportybet 3,PariPesa 3,Sportpesa 3, na 888STARZ 3,,,Itiki ichanike vyovyote asubuhi naenda morning glory natubu pepo la jokeri liniachie. Nimetimiza miaka 11 kwenye game, nastaafu
Na ni kampuni gani zenye hyo option maana iko poa sanaKwa mfano umebet mechi 15 halafu unaupa bima mkeka wako kwa kupunguza mechi kadhaa tufanye 3 kwahiyo mechi zikichana 3 kushuka chini unalipwa.
Ila kumbuka mara nyingi stake iwe ya maana
Leo kanji anaweza rudisha hasara ya jana dadekiNaona vilio vingi sana leo